GOWISHI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 611
- 603
Nimecopy kipengele hiki ulichoongelea kuwa....
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.
Kudeclear interest....Mimi ni muislam.
Kwanza ujue quraan ndo kitabu cha mwisho kuja,
Na mtume aliekuja na mafundisho ya quraan ni Muhammad s.w.
Quraan ni majumuisho ya vitabu vilivotangulia.. Baadhi yake ni ..zaburi...torat ....idjil na vingine...
Hoja yangu hapa, nabii Issa s.w ambaye wengine walimwita yeasu.
Huyu yy aliekuja kabla ya Muhammad s.w.
Na alikuja na kitabu kinaitwa injil.
Hiyo biblia unayosema ww ilikuwepo karne 6 kabla ya quraan ni ipi? Yaani ni mtume yupi aliekuja kuitetea biblia!?
Kama huna ulijualo kuhusu dini ni vema ungesoma zaidi kuliko kuzusha yasi0kuwepo![/QUOTE
Wewe ndiyo huna unalojua , Nani kakuambia Biblia ni kitabu ? tafuta maana ya Biblia ndiyo uje hapa .
Halafu Issa siyo Yesu ,kama unajua Issa ni Yesu umepotea.
Unaweza kunipa maana ya Injili? unaweza kunieleza Zaburi ni nini?
wewe sikiliza tu Majini na kuswali na Majini unaenda Motoni