Je, asili ya majini ni ipi?

Nimecopy kipengele hiki ulichoongelea kuwa....


Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.


Kudeclear interest....Mimi ni muislam.

Kwanza ujue quraan ndo kitabu cha mwisho kuja,
Na mtume aliekuja na mafundisho ya quraan ni Muhammad s.w.

Quraan ni majumuisho ya vitabu vilivotangulia.. Baadhi yake ni ..zaburi...torat ....idjil na vingine...

Hoja yangu hapa, nabii Issa s.w ambaye wengine walimwita yeasu.
Huyu yy aliekuja kabla ya Muhammad s.w.
Na alikuja na kitabu kinaitwa injil.

Hiyo biblia unayosema ww ilikuwepo karne 6 kabla ya quraan ni ipi? Yaani ni mtume yupi aliekuja kuitetea biblia!?

Kama huna ulijualo kuhusu dini ni vema ungesoma zaidi kuliko kuzusha yasi0kuwepo![/QUOTE

Wewe ndiyo huna unalojua , Nani kakuambia Biblia ni kitabu ? tafuta maana ya Biblia ndiyo uje hapa .
Halafu Issa siyo Yesu ,kama unajua Issa ni Yesu umepotea.

Unaweza kunipa maana ya Injili? unaweza kunieleza Zaburi ni nini?
wewe sikiliza tu Majini na kuswali na Majini unaenda Motoni
 
Nimecopy kipengele hiki ulichoongelea kuwa....


Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.


Kudeclear interest....Mimi ni muislam.

Kwanza ujue quraan ndo kitabu cha mwisho kuja,
Na mtume aliekuja na mafundisho ya quraan ni Muhammad s.w.

Quraan ni majumuisho ya vitabu vilivotangulia.. Baadhi yake ni ..zaburi...torat ....idjil na vingine...

Hoja yangu hapa, nabii Issa s.w ambaye wengine walimwita yeasu.
Huyu yy aliekuja kabla ya Muhammad s.w.
Na alikuja na kitabu kinaitwa injil.

Hiyo biblia unayosema ww ilikuwepo karne 6 kabla ya quraan ni ipi? Yaani ni mtume yupi aliekuja kuitetea biblia!?

Kama huna ulijualo kuhusu dini ni vema ungesoma zaidi kuliko kuzusha yasi0kuwepo!

Wewe ndiyo huna unalojua , Nani kakuambia Biblia ni kitabu ? tafuta maana ya Biblia ndiyo uje hapa .
Halafu Issa siyo Yesu ,kama unajua Issa ni Yesu umepotea.

Unaweza kunipa maana ya Injili? unaweza kunieleza Zaburi ni nini?
wewe sikiliza tu Majini na kuswali na Majini unaenda Motoni
 
Kwa kifupi kwa mujibu wa Quran mungu ameumba binadamu kwa udongo ,ameumba majini kwa moto na ameumba malaika kwa nuru
Binadamu na majini tunafanana kwa kila kitu ila wao walitangulia kuumbwa
Pia mungu anasema katika qurani nimeumba majini na watu ili waniabudu
Pia ktk aya nyingine anasema nimeweka pepo na jahanamu kwa ajili ya majini na watu
Ninachokiona hapa n kwamba wote angalau tunatambua uwepo wa majini kwa maelezo yako mkuu ni kwamba binadamu na majini tunafanana kila kitu isipokua katika uumbwaji my point ni kwmba kwa kua majini yaliumbwa kabla yetu inawezekana kua yana upeo mkuvwa mkubwa wa kufikir kuliko sisi (mtazamo tu lkn) ,inawezekana pia wametupita mbali kimaendeleo na hasa teknolojia (maybe wanatuchora tu tunavobishana hapa) kwa nn bas hata jini moja lisije hapa jeiefu kutupa japo ukweli kidogo tu ili hzi kashfa wanazotupiana waislam na wakristo zkome. Aje (huyo jini) atuambie wao ni kina nan waliumbwa na nan kwa malengo gan na wanapaswa kua na mahusiano ya aina gan na wanadamu
 
Ninachokiona hapa n kwamba wote angalau tunatambua uwepo wa majini kwa maelezo yako mkuu ni kwamba binadamu na majini tunafanana kila kitu isipokua katika uumbwaji my point ni kwmba kwa kua majini yaliumbwa kabla yetu inawezekana kua yana upeo mkuvwa mkubwa wa kufikir kuliko sisi (mtazamo tu lkn) ,inawezekana pia wametupita mbali kimaendeleo na hasa teknolojia (maybe wanatuchora tu tunavobishana hapa) kwa nn bas hata jini moja lisije hapa jeiefu kutupa japo ukweli kidogo tu ili hzi kashfa wanazotupiana waislam na wakristo zkome. Aje (huyo jini) atuambie wao ni kina nan waliumbwa na nan kwa malengo gan na wanapaswa kua na mahusiano ya aina gan na wanadamu
Sasa hapo tatizo,kwa sababu kwa mujibu wa wakristo Mungu hajaumba kiumbe kinachoitwa jini bali Mungu aliumba malaika na ndiyo hao majini.

Sasa hapo kwenye kujitokeza jini tutawezaje kujua kuwa huyu ni jini na sio malaika?
 
Isa sio Yesu ila majini ndio malaika waliyoasi, hapa huwa sipaelewi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom