Je! Dini bora ni ipi zaidi ya ubinadam(humanity)?

Je! Dini bora ni ipi zaidi ya ubinadam(humanity)?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,559
Reaction score
3,812
Ni haki ya kila binadamu kuishi, kuheshimiwa na kuishi kwa amani. Cha ajabu watu wanaojifanya wako na dini sana ila hawana ubinadam.

Leo Papa amefariki, moja ya msingi mkubwa aliokua akisimamia ni ubinadam, aliamini katika utu, ukarimu na amani.

watu wwalimsema sana kutokana na kauli zake zilizoonesha kutetea LGBTQ community, lakini ni papa huyo huyo alipinga mauaji ya Wapalestina.

pia LGBTQ wengi wameonesha huruma zaidi kwa Wapalestina japo wanajua wengi wanapinga idea za LGBTQ.

wengi waliompiga papa kusema LGBTQ wasihukumiwe, wapo wanaoshangilia mauaji ya Wapalestina. Rest in peace Pope.

Je nani ni muovu? Dini bora ni ipi zaidi ya ubinadam?
 
Ni haki ya kila binadamu kuishi, kuheshimiwa na kuishi kwa amani. Cha ajabu watu wanaojifanya wako na dini sana ila hawana ubinadam.

Leo Papa amefariki, moja ya msingi mkubwa aliokua akisimamia ni ubinadam, aliamini katika utu, ukarimu na amani.

watu wwalimsema sana kutokana na kauli zake zilizoonesha kutetea LGBTQ community, lakini ni papa huyo huyo alipinga mauaji ya Wapalestina.

pia LGBTQ wengi wameonesha huruma zaidi kwa Wapalestina japo wanajua wengi wanapinga idea za LGBTQ.

wengi waliompiga papa kusema LGBTQ wasihukumiwe, wapo wanaoshangilia mauaji ya Wapalestina. Rest in peace Pope.

Je nani ni muovu? Dini bora ni ipi zaidi ya ubinadam?
Yakobo 1:27
"Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu."

Jilinde usichafuliwe na ulevi, uzinzi, kuabudu sanamu, uongo, kiburi cha uzima...
 
Yakobo 1:27
"Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu."

Jilinde usichafuliwe na ulevi, uzinzi, kuabudu sanamu, uongo, kiburi cha uzima...
Ndio maana Nakupenda
 
Ukiwa na ubinadamu, una kila kitu maishani. Unapotenda kwa haki bila kubagua, kuheshimu utu na maisha ya mtu mwingine kwa haki ya kuishi. Kusaidia kwa moyo, n.k hiyo ndiyo dini. Tenda kwa HAKI.
 
Ukiwa na ubinadamu, una kila kitu maishani. Unapotenda kwa haki bila kubagua, kuheshimu utu na maisha ya mtu mwingine kwa haki ya kuishi. Kusaidia kwa moyo, n.k hiyo ndiyo dini. Tenda kwa HAKI.
Hakima umenena.
 
Back
Top Bottom