uchama unaiangamiza clouds.
hakuna radio nilikuwa naipenda kama clouds.
naaanza na power break fast,Leo tena,xxl.jahazi,amplifaya.sport extra.mpaka nite kali cha DJ heri..
lakini sasa misifa ikaanza ya kumsifia bwana yule.
fredwaa ndo usiseme.
ilifika kipindi fred was akiongea na bonge pale saa 11 hadi saa 12 nilikua nazima radio mpaka waingie akina masudi.
haya akina Bantu na wenzie ndo usiseme.
utafikiri waliambiwa clouds inasikilizwa na wafuasi Wa CCM pekee.
Wewe uchama ndio unakuangamiza kwa kuwa unatazama vitu katika mtazamo huo na wala usiwasingizie clouds ,kama wao ni ccm wewe inakuuma nini? mbona wao hawakereki wewe kupenda hicho chama unachokipenda?acha ubinafsi,kwani usichokipenda wewe kinapendwa na mwingine ,jifunze kustahamili.