Ruby: Nilikuwa nalala kwenye kibaraza cha Diamond

Ruby: Nilikuwa nalala kwenye kibaraza cha Diamond

Miss Halima

Senior Member
Joined
Aug 4, 2026
Posts
132
Reaction score
317
Nilivyorudi Dar es salaam ndugu zangu wote wa huku walinikataa hivyo nikakosa sehemu ya kulala, nilipata gest flani maeneo ya sinza kwa siku nilikuwa nalipa elfu 5, sasa kumbe ile gest ilikuwa inaangaliana na nyumba ya Diamond Platnumz.

“Sasa nilivyokuwa nakosa hela ya kulipia gest nikawa naenda kulala kwenye kibaraza cha nyumba ya Diamond bila kujua kuwa ni nyumba yake, kuna siku akanikuta akanisamilia. mimi na Diamond tumeanza kujuana mda mrefu sana" amesema hayo msanii ruby

1787556796698.png


1787556566378.png
 
Wengine wanasema anguko lake lilianzia alipojaribu kuivimbia ile media iliyosifika enzi hizo kwa kuteka soko la burudani iliyokuwa na tamasha la kuzunguka mikoa yote nchi baada ya kukataa kupewa dau dogo.

Hapo ndipo wakaazimia kumpoteza mazima na kumpandisha yule binti ambaye kwasasa ni mke wa mtu na kwenye msiba alisimama kama mjane wa jamaa aliyefia nje ya nchi na kwenda kuzikwa kwenye migomba. Huyu binti kwa hakika alifanikiwa kuwasahaulisha kabisa mashabiki juu ya habari za Ruby.
 
Angewacheki Best Naso na Ney wa Mitego wamuunge chama lao la chaka tu chaka😂😂. Hits anazo. Huko asingekosa hela ya kula.
 
Wengine wanasema anguko lake lilianzia alipojaribu kuivimbia ile media iliyosifika enzi hizo kwa kuteka soko la burudani iliyokuwa na tamasha la kuzunguka mikoa yote nchi baada ya kukataa kupewa dau dogo.

Hapo ndipo wakaazimia kumpoteza mazima na kumpandisha yule binti ambaye kwasasa ni mke wa mtu na kwenye msiba alisimama kama mjane wa jamaa aliyefia nje ya nchi na kwenda kuzikwa kwenye migomba. Huyu binti kwa hakika alifanikiwa kuwasahaulisha kabisa mashabiki juu ya habari za Ruby.
Alipokataa kutoa tunda Kwa namfungulia dunia nafasi yake ikachukuluwa na yule ambaye baada ya msiba alimrudia x wake
 
Wengine wanasema anguko lake lilianzia alipojaribu kuivimbia ile media iliyosifika enzi hizo kwa kuteka soko la burudani iliyokuwa na tamasha la kuzunguka mikoa yote nchi baada ya kukataa kupewa dau dogo.

Hapo ndipo wakaazimia kumpoteza mazima na kumpandisha yule binti ambaye kwasasa ni mke wa mtu na kwenye msiba alisimama kama mjane wa jamaa aliyefia nje ya nchi na kwenda kuzikwa kwenye migomba. Huyu binti kwa hakika alifanikiwa kuwasahaulisha kabisa mashabiki juu ya habari za Ruby.
Yeah system ili mfuck
 
Dj Majizo alifosi kuitafuna ikamgomea.
Ruby anamsimamo kama mlingoti wa chuma
Alipokataa kutoa tunda Kwa namfungulia dunia nafasi yake ikachukuluwa na yule ambaye baada ya msiba alimrudia x wake
Mbona mnaandika kama vile alifanya kitu kibaya na anatakiwa kujuta? Kama alikataa kujidhalilisha utu wake kwa kutumikishwa kingono kisa apate umaarufu, akalinda heshima yake na kusimamia haki ya kipaji chake basi huyu binti ni shujaa; na ni mfano wa kuigwa. Mungu Ambariki na Azidi kumwongoza 🙏🏿
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom