January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

Yes nakubaliana na wewe kwa kauli alizozitoa mwanzo was really premature alistahili kujipa muda wa kutosha kulielewa shirika lilipifikia. ila kuchoka kwa mifumo sio la leo ni la siku nyingi na halijawahi kufanyiwa kazi kwa uhakika sasa tusubiri nini ili lifanyike? Huu ndio muda wake vumilia ili mfumu mzima usidondoke ua kuleta madhara zaidi kwa wananchi. It is the right time to do the repair. Sio kuyanyanganya mashirika yote fedha zake na kukusanya kwenye chungu hazika na kuanza kuzigawa kwa kijiko cha chai. Wakileta actual cost for repair katibu mkuu hazina anakata bila hata kuwasilina na shirika lenyewe. Huu mfumo pia ni chanzo cha matatizo haya. Tuwaache wairekebishe nchi kwanza, it too early to say all that.
Tuache awamu ya mwendazake turudi tena nyuma, JK nae alikuwa akichukua hizo pesa za mashirika na kuzipeleka hazina? Nae alikuwa hafanyi repair?
 
Majibu hayana mashiko, Sawa tuseme kipindi Cha mwendazake watu walikua wanatishiwa na kuogopa kufanya repair na kisababisha uchakavu ndio sababu ya umeme kukatika,

Vipi kuhusu enzi za jakaya ambapo watu walikua hawatishiwi, repair zilikua zinafanyika na umeme ulikua unakatika Hadi siku tatu mfululizo? Enzi ambazo ukipita kariakoo kichwa kinauma kwa ngurumo za jenereta?

Tusiwafananishe watz na ming'ombe, kitendo Cha wao kutokua kwenye mifumo haimaanishi kwamba hawajui kitu
Hao ni wale vijana wa marope wa mitandaoni. Yaani mfumo ulikuwa unasubiri awe waziri ndio uanze kuchoka?
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfuko mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Ujinga tu,mbona walikuwa wanafanya service vizuri,mkuu hauna abc za umeme,umeme hua haudanganywi hata siku moja especially mitambo mikubwa hiyo,utaumbuka tu kwa hiyo wanataka kukwepa tu majukumu wajipange wamalize hili tatizo. Mambo ya kiufundi unatengeneza mchana usiku unawapa watu umeme.
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfuko mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Na kuna maeneo nguzo huwa zinabadidhwa

Ova
 
Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuz

Makamba anasema umeme unakatikakatika kwa vile miundombinu imechoka hivyo sasa wanafanya repair ambayo haikuwa inafanyika kuko nyuma kwa kumuogopa JIWE!!!

Sasa ulipokutana na wafanyakazi mara baada ya kuteuliwa, uliwapa wiki mbili umeme uache kukatika katika ama sivyo ungewafuka kazi!! Je ulidhani hizo wiki mbili ulizowapa hizo repair zingekuwa zimekamilika na umeme kupatikana bila shida?
 
M
Bada naona Approach ya Waziri Makamba ipo sawa sawia. Huwezi kufanya kazi kwa mashinikizo yasiyo na msingi. Alichokisema ilikuwa ndio anaingia Wizara hiyo sasa kapata data zote za mfumo wote wa ugawaji wa umeme ambao unahitaji marekebisho na kufanya hivyo lazima wakate umeme. Maintenance ndio chanzo kikubwa kwa mifumu mingi Africa kufa, watu wengi hatuna mazoea ya kutenga pesa kwa ajili ya maintenance. Anakuja waziri anasema usikate umeme akiogopa kutumbuliwa kumbe mfumo wote unaendelea kuchakaa na kuongeza upotevu wa umeme. Tusiwe wanazi tumwache afanyekazi yake. It too early to compare. Tuliona nguvu njingi zikitumika bila ya mafanikio ya kudumu na oungo mwingi na majigambo. Nchi hainendi kwa mihemko bali inaenda kwa kuwa na Strategic plan na kuzitekeleza.
Mtashabikia kwa sasa ila hali ikihalibika mtarudinkusema hapa kuwa kashindwa,
Na mliopata hasara ni nyie yeye hana hasara anaendelea kula kodi.zenu mnazokusanya hata kama umeme haupo
 
Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.

Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.

Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.

Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.

Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?

Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.

Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.

Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.





View attachment 1990619

View attachment 1990620
Huyu naye hata huo uwaziri si kapewa tu kama ceremonial.anajua nn kwenye electrical engineering.
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfuko mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Ukimpenda mtu asikufanye uwe kipofu. Ukiendelea hivi utakuwa kuwa zuzu badae.

Jibu la kisiasa kabisa hili.

Mfumo unafanyiwa repair hadi umeme ukatike?

Nchi kama Marekani wao hawafanyi repair hadi umeme usikatike? Mnakela nyie watu kisa nyie mna majenereta huko.
 
Yaaano wakati wa kikwete miaka 10 ulikiwa unakatika kwa sbb walikiwa wanarepair,sasa bado unasema maoaka mitano umeme haukukatika kwa kuwa watu walikuwa wanaogopa kutumbulia..sasa walichorepair miaka 10 yakikwete ilikuwa ninini?
Muulize tu nchi kama Uingereza umeme haukatiki, wao hawaafanyi repair?
 
Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.

Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.

Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.

Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.

Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?

Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.

Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.

Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.





View attachment 1990619

View attachment 1990620
Yuko sahihi kabisa kwa jibu lake maana hana uelewa wa mambo ya umeme hata washauri wake wengi hawajasomea fani ya umeme yaani mkurugenzi mkuu wa Tanesco na bodi ya Tanesco. Yajayo yanasikitisha.
 
Back
Top Bottom