umeme kukatika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Karatu umeme unakatika zaidi ya mara tano (5) kwa siku

    Umeme katika line ya KARATU maeneo ya NMC, Mangafi, Gibbs, Endoro, Marera, Ayalabe, Rhotia, kilima tembo, Mbulumbulu, Manyara kinaoni, Chemchem, Mto wa Mbu, Selela, unakatika sana, yani mara kwa mara kiasi cha wananchi kuwa na hofu ya kuunguliwa na vifaa vyetu vinavyotumia umeme. Manager wa...
  2. Izizimba

    Waliomponda Magufuli ndio hao hao wanaolamika umeme kukatika

    Sisi binadamu ni viumbe wa hovyo kabisa, just imagine kipindi cha JPM wanasiasa na baadhi ya Wananchi walivyokuwa wanamtukana Magufuli lakini saizi hao hao ndio wanaolalamikia ugumu wa maisha na kukatika umeme mara kwa mara. Tulimkosea sana JPM hii dhambi itatutafuna milele. Suluhisho ni kutubu.
  3. GENTAMYCINE

    Unadhani ni sababu ipi kati ya zifuatazo inapelekea Umeme Kukatika Mkapa Stadium Mechi zikiendelea?

    1. Meneja wa Uwanja anatafutiwa sababu aondolewe na awekwe anayetakiwa na BMT Mpya 2. Ushirikina / Kutumia muda huo Kupuliza Dawa ( Sumu ) katika Vyumba vya Timu Pinzani ili iwalevye na wakirejea Uwanjani wawe Laini na Wachovu wapigwe Nyingi. 3. Ni hujuma ya kutaka Kuwachonganisha Mawaziri wa...
  4. GENTAMYCINE

    Kwa Marumo Gallants FC niliowaona leo kuna Timu itafungwa kwao umeme kukatika Stadium na South Africa pia

    Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na Michuano hii ya CAFCC Marumo Gallants FC? Kutokana kuwa na Ndugu na Marafiki zangu kutokea Mji wa...
  5. R

    Hayati Magufuli alikataza maji na umeme kukatika

    Pamoja na mvua kunyesha maeneo ya Pwani bado maeneo mengi hakuna maji; it's like kuna mgao zaidi ya mwezi sasa. Ila magari yakuuza maji yanaongezeka mjini that means wapo watu wanahujumu juhudi za serikali kusambaza maji ili wao wauze maji. Matokeo yake ni haya kila siku Bomba limepasuka ...
  6. ommytk

    Hivi kuna mtu anajua kuhusu hii umeme kukatika, nini kinaendelea au shida nini??

    Please naona sasa tunaenda mwendo kimya kimya imekuwaje umeme unakatwa kila siku hatupewi taarifa, nini shida maana tukipata taarifa inakuwa nafuu tunajua namna ya kujipanga na ratiba sasa hii kimya kimya unaamka unakuta wamechukua unajipa moyo sijui utarudi sasa hivi mara inagonga jioni. Hebu...
  7. CK Allan

    Akili zangu zinaniambia hivi kuhusu umeme kukatika katika

    Tukiendelea na filamu yetu ya Royal tour, Hebu niwape kisa kimoja kilichofanya Leo niandike kuhusu huku kukatika kwa umeme, Mwaka 2001 nilibahatika kufanya kazi kama mashine operator kwenye kiwanda Cha mkonge, Kwa Sababu ambazo sikuelewa pale kiwandani hapakua na Auto Generator ambalo lingeweza...
  8. B

    Rais Samia: Nashangaa Umeme kukatika Marekani!

    Rais Samia alipokuwa kwenye ziara yake ya kikazi huko Marekani[ U.S.A.] alipata wasaa wa kuwahutubia waTanzania wanaoishi huko. Alipokuwa anatoa hotuba yake palitokea tukio moja lililomfanya akumbuke nyumbani; ingawa alikuwa ughaibuni nalo lilikuwa pale UMEME ulipokatika wakati akitoa...
  9. K

    TANESCO mnatusababishia hasara kubwa kwa kukata na kurudisha umeme kila wakati

    Kichwa cha habari chahusika. TANESCO toeni ratiba ya kata washa kata washa ifahamike kuliko jambo mnalotuanyia kwa sasa. Hizi hasara za kutuunguzia vyombo vyetu sijui kama mtazibeba tukiamua kuwaburuza mahakamani. Siku hizi haieleweki lini mtu unakuwa na umeme. Halafu watu tunashindwa kupanga...
  10. U

    January Makamba anastahili kujiuzulu, anaowabebesha mzigo hawana kosa

    Zababu za kujiuzulu ni hizi hapa. 1. Aliteua bodi ya TANESCO yenye watu walio na kashfa nyingi. Hapa utamkuta Majaar wa Rex Attorneys, Gachuma na wengineo ambao wana historia ya kuwa na kashfa kadhaa katika shirika hili kipindi cha awamu ya nne. 2. Amesaini mikataba miwili mpaka sasa yenye...
  11. UMUGHAKA

    Hivi tatizo hili la umeme kukatika litakwisha lini?

    Ndugu zangu Watanzania, bila shaka hamjambo. Mimi kama Mtanzania mwenzenu nawasalimia! Ndugu zangu nimekuwa nakwazwa sana na hili suala la kukatika kwa umeme kila wakati kama siyo kila siku. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana yasiyokuwa na majibu, na ningeomba mtu mwenye majibu...
  12. Kichwa Kichafu

    TANESCO yaomba radhi wateja wake kwa kukatika kwa umeme ghafla usiku leo 21.01.2022

    Habari, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa Wa Kinondoni Kusini limewaomba radhi wateja wake wanaotumia laini za umeme kwa kukosa huduma ya umeme muda huu. "Maeneo yaliyoathirika ni Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Sinza, Ubungo,Bonyokwa, Kimara Baruti, Korogwe, King'ongo, Kimara...
  13. DENLSON

    January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

    Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati. Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja...
  14. jebs2002

    Petroli bei juu. Mafuta ya kupikia bei juu. Mazagazaga bei juu. Maji ya kutumia hakuna. Umeme kukatika hata mara 5 au 6 kwa siku!

    Kutokana na hayo matatizo yaliyotajwa hapo juu. Je, Mama Samia anatupeleka wapi na wasaidizi wake? Tutaishia wapi? Kumbekeni Omicron nayo yatunyemelea kama bado haijafika! Kweli bongo bahati mbaya.
  15. K

    TANESCO Morogoro kila siku umeme kukatika, kwanini?

    Kama tujuavyo, bila nishati ya umeme shughuli nyingi zinakwama. Umeme kukatika siku nzima ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Leo Morogoro hakuna umeme tangu asubuhi hadi sasa. Namna hii uchumi wa mkoa na wa watu binafsi unaathirika sana. Inawezekana umeme haukatwi makusudi ila kama kuna hitilafu...
  16. Memento

    January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

    Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini. Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair. Sasa hivi...
  17. kimsboy

    Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

    Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio...
Back
Top Bottom