January Makamba: November 2019 Umeme ulizima Mikoa yote ya Tanzania

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
42,433
49,102
Habari Wakuu wa kigoda.

Waziri wa Nishati Bwana Januaary Makamba anasema November mwaka 2019 Umeme Ulizima Mikoa yote ya Tanzania kutokana na shida za uchakavu wa miundombinu, hiyo ni Kwa Mujibu wa taarifa ya CAG.

Makamba amesema mabwawa ya kuzalisha umeme wa Maji hayakufanyiwa matengenezo Kwa miaka 5 hivyo kupelekea kukatika katika hovyo Kwa Umeme.

Haya wale waliokuwa wakisema Umeme ulikuwa haukatiki awamu ya 5 mnaitwa huku mje kutetea legacy.

Kazi inaendelea.
901B53E6-44C5-40AA-A468-6A36FD10A0BC.jpeg


===
Uliponiteua katika nafasi hii nilikutana na kadhia kubwa ya tatizo la umeme. Kitu cha kwanza tulichofanya ni kujifungua na Tanesco kubaini tatizo hasa ni nini. Wananchi kutopata umeme wa kutoshereza, umeme wa uhakika, Waziri wa Nishati Januari Makamba
 
Habari Wakuu wa kigoda.

Waziri wa Nishati bwn.Januaary Makamba anasema November mwaka 2019 Umeme Ulizima Mikoa yote ya Tanzania kutokana na shida za uchakavu wa miundombinu,hiyo ni Kwa Mujibu wa taarifa ya CAG.

Makamba amesema mabwawa ya kuzalisha umeme wa Maji hayakufanyiwa matengenezo Kwa miaka 5 hivyo kupelekea kukatika katika hovyo Kwa Umeme..

Haya wale waliokuwa wakisema Umeme ulikuwa haukatiki awamu ya 5 mnaitwa huku mje kutetea legacy .

Kazi inaendelea


Wewe kweli ni choicevariable
 
Kwa hiyo ulipozimika nchi nzima siku moja basi ikatokea miujiza mitambo yote ikajirekebisha siku moja na kesho yake umeme ukawepo.?

We January endelea kupiga pesa kama ulivyoamua kubinafsisha kitengo cha Huduma kwa Wateja cha Tanesco kwa kampuni ya Hello Links bila kutangaza tender na kuathiri ajira za mamia ya watanzania walioajiriwa kwenye kitengo hicho.

Nataka nikuhakikishie hata mkataba mliongia leo umejaa wizi na ufisadi. Eti 1.9 trillion ukarabati. Je mngekuwa mnaweka system mpya?

Nakuombea kwa Mungu aliye Hai kupitia mwanae Yesu Kristo. Kwenye familia yako na ndugu zako watokeee watoto vizazi vyenu mashoga, wasagaji na waathirika wa madawa ya kulevya.

May your future kids inherit your sins and suffer.
 
Kwa hiyo ulipozimika nchi nzima siku moja basi ikatokea miujiza mitambo yote ikajirekebisha siku moja na kesho yake umeme ukawepo.?

We January endelea kupiga pesa kama ulivyoamua kubinafsisha kitengo cha Huduma kwa Wateja cha Tanesco kwa kampuni ya Hello Links bila kutangaza tender na kuathiri ajira za mamia ya watanzania walioajiriwa kwenye kitengo hicho.

Nataka nikuhakikishie hata mkataba mliongia leo umejaa wizi na ufisadi. Eti 1.9 trillion ukarabati. Je mngekuwa mnaweka system mpya?

Nakuombea kwa Mungu aliye Hai kupitia mwanae Yesu Kristo. Kwenye familia yako na ndugu zako watokeee watoto vizazi vyenu mashoga, wasagaji na waathirika wa madawa ya kulevya.

May your future kids inherit your sins and suffer.
Ilikuwa ni kielelezo Cha uchakavu wa mitambo,umeme unawezaje kuzima Nchi nzima?
 
Mwisho wa siku Makamba JR ataibuka mahindi kama mlivyopiga makelele ya kijinga ya kuhujumu bwawa ila kawashushua Sasa liko 82% ndani ya mda mfupi..

Na umeme utakapotengamaa msije kutafuta visingizio,wekeni akiba ya maneno
 
CAG alirupoti la nini?
Swala la umeme ulikuwa unakati au laah hili nalo ni la kuambiwa na CAG labda kama ww hutumii umeme, ila sisi tunao tumia umeme kila siku hatuhitaji hata kuisoma hiyo report sababu ni kitu tunacho kitumia kila siku so ni rahisi kuona utofauti.

Yaani umeme ukatike nchi nzima sababu ya umeme mitambo ila cha ajabu baada ya hapo haukukatika kama hivi sasa.

Tukisema tuchukue na takwimu za umeme kukatika ktk mwaka huo na yy kwa mwaka jana ndani tu ya miezi mitatu utagundua nani muongo.

Tuliambiwa schedule maintenance (kaombwa ripoti bungeni za hizo maintenance sijui aliishia wapi), mara vituo chakavu tujenge upya ,akaja kupata chaka jipya la ukame,sasa wanasema wanataka kufumua Grid nzima ya taifa,sijui kesho atakuja na ngonjera gani.
 
January Muongo ,Kipindi cha Magufuli Umeme haujawahi kukatika hata mara moja.

Legasi Legasi Legasi :D
 
Ndivyo mnavyojitetea mara zote kuwa mnachukiwa.

Hatuna muda wa mapenzi hapa tunachotaka ni umeme tu.

Hatuwezi endelea kukaa giza eti kisa flani akiambiwa atasema anachukiwa.

Kama huwezi kazi acha maana hiyo wizara sio ya nyanya ako.
Umeme sio kujenga madarasa, umeme wa uhakika ni pesa, muda na Mipango thabiti so just wait
 
Back
Top Bottom