Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,927
- 70,236
Ukiwa una hela za kuunga unga kama akina sisi kuna sehem sio za kwenda, utaishia kukaa kinyonge sana tajiri.
Kama hauna hobbi na kahaba je4000 unapata kahaba Riverside unapunguza nyege maisha yanaendelea
Halafu mabahili huwa hawafanikiwiUkiwa na hela nyingi hata hizo sehemu utaanza kuogopa kwenda Kwa sababu utakuwa unahofia usalama wako.
So hao unaowaona hapo ,ni Waze Wa tukipata tunakula bata tukikosa tunatulia.
Endelea kuikimbiza sarafu kuna MUDA utakfika utakuwa unakula bata na sio anasa.
Kufanikiwa katika nini ?Halafu mabahili huwa hawafanikiwi
Wala Bata ndio wanaotoboa kuliko mabahiliPole xana, pia hongera kwa kukubali fedheha na aibu ili usave 4000 yako kuliko kupoteza ela yako ili tu ufiche aibu then badae kuanza kuijutia...kwa maisha ya mtanzania wa hali ya chini kununua maji kwa 4000 ni ukichaa wakati hiyo ela unapata chapati 10 na kikombe cha chai kwa mama lishe, pia hao uliowakuta huko sio wote wanaishi maisha yao halisi wengi tu wanafake maisha so wasikutishe sana!
Kutoka kimaishaKufanikiwa katika nini ?
Katika kula Anasa au bata?
Kutoka kimaisha
Akipata gono atatumia gharama zaidi ya hiyo 4000 kujitibu4000 unapata kahaba Riverside unapunguza nyege maisha yanaendelea
factIssue ni Ku-play smart Watz wengi starehe zao za kimasikini Sana ngono na pombe.
MTU bahili na smart yeye sio MTU wa. anasa bali bata.
Fact ,Mwenye hela hawezi kukaa kwenye kelele. Kuna levels mkuu.
Nikaona huku nimekosea njia nimeingia kwenye Chaka la matajiri, hata sikumsubiri fid q aje nikatoka Moja kwa Moja mpaka nje huku niliona kama Kila mtu ananicheka kwa fedhea, nikaondoka kinyonge nikatembea kwa mguu mpaka coner ya bwiru kinyonge huyoo nikaingia gheto kulala huku moyoni nikiwa na masononeko.
Hivi ya 50000 na ya 10000 zinatofautiana kilevi?au ndo mjinga ndo aliwae?hata kama Una pesa,kitu cha buku unauziwa 15000 na we unatoa hela huku unakenua tu.kesho unataka rushwa na kumuibia mtanzania masikini ili uzipeleke tena bar.Nlienda samak samak pale juu Kuna ka VIP flan iv...kuulizia kvant nkaambiwa elfu 50...nliondoka tu cz huku kwa mtogole tumauziwa Cha ten