We nyumbu mpuuzi,upo nyuma ya keyboard hauna lolote apo kwa shemeji yako!!Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Naona jukwaan kumejazana nyuzi za jf kurudi hewani kitu ambacho ni ajabu kabisa yaan
Jf ilikuwepo kila siku na tuliingia si kwa VPN bali kwa kutumia operamin na ilikuwa ni bure kabisa mchawi bando tu
Kwahiyo karibun sana wadau siku nyingine mjifunze operamin ndo mbabe wa Samia muuwaji
LONDON BOY
Exactly 💯 brotherVPN kwa sasa iendelee kuwepo tu hata kama mmeifungulia jf. Mmekuwa wauwaji na hamuaminiki tena, hamtaki kukosolewa maana mmekuwa miungu watu.
VPN all the way!!
MIN me mbona yupo sana humu .Nina shauku ya kuwaona wanangu akina
Kalpana
Min me
Felakuti (mtani wangu mwanasimba)
Kifungo kilikuwa siku 90.(kuanzia Sept 6 mpaka Dec 6)Baada ya Sarakasi zao za kupata asilimia 97 wameona warudishe ?
Ili kwenye vijiwe vyao wajiliwaze kwamba wanatenda haki na wana media huru ?
Bure Kabisa...
Na unadhani timing ilikuwa ni makosa ? Wameshaiba, kwahio sasa hivi hakuna sababu ya kuonekana wanabana media tena wataanza kujifanya wapole, wanajali na jambo kama hili haliwezi tokea tena mpaka miaka mitano mingine - Anything to suit their agendasKifungo kilikuwa siku 90.(kuanzia Sept 6 mpaka Dec 6)
Siku 90 zimekamilika