JamiiForums yarudi hewani

JamiiForums yarudi hewani

Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU

Naona jukwaan kumejazana nyuzi za jf kurudi hewani kitu ambacho ni ajabu kabisa yaan

Jf ilikuwepo kila siku na tuliingia si kwa VPN bali kwa kutumia operamin na ilikuwa ni bure kabisa mchawi bando tu

Kwahiyo karibun sana wadau siku nyingine mjifunze operamin ndo mbabe wa Samia muuwaji

LONDON BOY
We nyumbu mpuuzi,upo nyuma ya keyboard hauna lolote apo kwa shemeji yako!!
Kutukana viongozi ndo kitu unachojuaa,hata hayo maandamano unakuwa umejifungia chini ya shukaa!..
 
VPN kwa sasa iendelee kuwepo tu hata kama mmeifungulia jf. Mmekuwa wauwaji na hamuaminiki tena, hamtaki kukosolewa maana mmekuwa miungu watu.

VPN all the way!!
Exactly 💯 brother
 
Baada ya Sarakasi zao za kupata asilimia 97 wameona warudishe ?

Ili kwenye vijiwe vyao wajiliwaze kwamba wanatenda haki na wana media huru ?

Bure Kabisa...
Kifungo kilikuwa siku 90.(kuanzia Sept 6 mpaka Dec 6)

Siku 90 zimekamilika
 
Kifungo kilikuwa siku 90.(kuanzia Sept 6 mpaka Dec 6)

Siku 90 zimekamilika
Na unadhani timing ilikuwa ni makosa ? Wameshaiba, kwahio sasa hivi hakuna sababu ya kuonekana wanabana media tena wataanza kujifanya wapole, wanajali na jambo kama hili haliwezi tokea tena mpaka miaka mitano mingine - Anything to suit their agendas
 
Haipatikani tena bila VPN
Labda aliyeifungua amepata maelekezo licha ya siku kuisha iendelee kufungiwa.
 
Back
Top Bottom