JamiiForums yarudi hewani

JamiiForums yarudi hewani

Woyooo! It's true bwana
Tushakatazwa kushangilia huduma tuliyonyang'anywa kionevu inaporejeshwa na watesi wetu.

Ni heri Jf ingelisitisha huduma kwa sababu za kiufundi, lakini sasa ni kwa uonevu wa kipumbaf tu.

Jambo kama hili lilishasemwa kwene urejeleo wa kanisa la Gwajiboy, hatuwezi kusema ahsante sisi.
 
Kazi kweli kweli. Hivi mtumishi wa serikali haruhusiwi kuikosoa serikali? Ila anaruhusiwa kuichunguza serikali?
 
Back
Top Bottom