JamiiForums yarudi hewani

JamiiForums yarudi hewani

Imeshaliwa kichwa tena, hii nchi ni ngumu sana
 
Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki.

Updates

Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
Mwigulu naye alikuwa akiingia care of vipieni.
 
Back
Top Bottom