Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,149
- 14,488
Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki.
Updates
Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
Updates
Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.