JamiiForums yarudi hewani

JamiiForums yarudi hewani

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,149
Reaction score
14,488
Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki.

Updates

Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
 
Back
Top Bottom