🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaaSa ngapi huko? Mkongwe unawivu wa kike seeenz
Pole 😁Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
Tunapiga umbeax kwenye nyuzi za misiba na majonzi ya kitaifa🤣🤣🤣, wtf usiku wa manane🤣🤣🤣 mnaojiita wakongwe inabidi mkufee mkapumzike, mmechoka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaa
Wananikerega kujikuta wajuaji!Kila kitu wakongwe wakongwe!wakongwe wa nyokoTunapiga umbeax kwenye nyuzi za misiba na majonzi ya kitaifa🤣🤣🤣, wtf usiku wa manane🤣🤣🤣 mnaojiita wakongwe inabidi mkufee mkapumzike, mmechoka sana🤣🤣🤣
Same to youUsiku mwema
🤣🤣🤣Kabisa Kabisa....maana mpaka kufutwa maongezi yetu hii ni HUJUMAA 😏Kabisa tufanye tuanzishe lindo letu la wawili🥰
🤣🤣pole na hongera kwa kazi Kamanda✌️Jana nimeingia lindo kweupe kabisa hamna mtu hata mmoja nikaamua nisimamie show mwenyewe
AiseeHuu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
Tulikuwa kwenye majukumu mengine ya kulijenga taifa la kesho 😅Nimeshangaa Jana nakuta lindo wazi makomredi Mmelala fofofo 😁
SafiTulikuwa kwenye majukumu mengine ya kulijenga taifa la kesho 😅
Najua unatuwakilisha vyema hukoSafi
Nimekuwa mvivu kweliNajua unatuwakilisha vyema huko
Ahsante sana mkuu. Leo utokee sasa🙄😁🤣🤣pole na hongera kwa kazi Kamanda✌️
Yule mod ana lake jambo sio bure🤣🤣🤣Kabisa Kabisa....maana mpaka kufutwa maongezi yetu hii ni HUJUMAA 😏
Ukija Arusha tunamaliza ila wewe mmbea sanaBado Nina hasira na wewe wala usiniambie habari za LMG wala fyoko fyoko ndo nini kunifanyia vile
Sawa...no problemaAhsante sana mkuu. Leo utokee sasa🙄😁
kuwa na adabu kijana by the way kwani hili jambo linakupa ugali au wali..?? kama halikupi mbona unawashwawashwa..?😂Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa