JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hatimaye walokole wamefikiwa,Mwanamke wa Kilokole ataka kumuua mumewe kwa ajili ya Robert

Wadau wa usiku wa Manane napenda kukiri hiki kisa kimenifanya nilengwe na machozi, women nawaita mara tatu "HUWA NINI MNATAKA?"

Kwanza naomba mfahamu kwamba hivi visa ninavyoleta ni true story kabisa kutoka kwenye show inayoitwa Comrades flavor,ni ushuhuda tosha wa usaliti katika mapenzi

Kwahiyo sichapishi hapa kama burudani tu,bali ni kujifunza,kujifariji na kuchukua tahadhari kwenye swala zima la mapenzi,mahusiano na ndoa

Usikose kujoin Mtaa wa Usiku wa Manane daily for more exclusive, hii sasa ni kazi yangu maalumu kuleta awareness katika jamii.

Here is the story:

Kwanza hawa wanandoa walianza na mawaidha mazuri sana juu ya kuchagua mwenza mzuri wa maisha,ikiwemo kujuana kabla ya ndoa,kujua historia ya mwenza na mambo yote ambayo ni muhimu kwa kupata mke au mume bora

Na wakasema wao ni walokole,na wakasisitiza juu ya kumtegemea Mungu na hivyo kuwapa ndoa bora na imara

Guess what? Don't trust sweet words kutoka kwa watu lau ukiwajua kiundani utajua hujui

So ikaja segment ya kukagua simu zao, mpaka sasa nimeangalia video nyingi lakini men are clean,siwezi sema hakuna wanaume kimeo ,wapo na tutawafikia tu hapa hapa mtaani kwetu Usiku wa Manane

Mume kachekiwa yupo sawa,kasheshe simu ya wife sasa

Meseji moja wife anamwambia mchepuko wake,nawashwa chini huku sijui umeniambukiza ugonjwa? Jamaa akajibu hata mimi nahisi kama sipo sawa vile,mchepuko akaendelea kusema " ila nahisi ni mke wangu maana simuelewi siku hizi anabadilisha password kila wakati"

Mke mlokole akasema basi tuanze kutumia kinga sasa,maana toka nilale na wewe sijalala na mume wangu

Mchepuko wa mke akasema " ukienda kupima infections basi uniambie hayo majibu ili nami ninywe dawa"

Kuna mambo mengi ndani yake lakini ambalo limenifanya nilengwe machozi ni mke kupanga mpango wa kumuua mume wale ili wafaidi vizur mapenzi yao,yani wawe free

Halafu injinia wa hii ishu inaonekana ni mke coz anamwambia huyo Robert "kwani tumefanya deal ngapi tushindwe kumuweka under 6feet huyu mume wangu

Tena anasema hakikisha unamuua mbali huku na ikowezekana simu yake itupwe mbali huko ili kuwa changanya polisi kwenye upepelezi wao

Guys nilikuwa naangalia hii video ambayo ntaiweka huku nalengwa na machozi,women women women kwanini lakini?

Mwisho wa siku mke anaulizwa kwanini unataka kuniua,je nimefanya mambo mangapi kwenu,nimejenga kwenu na mambo kibao,ila nilichojifunza wanaume wa Kenya aisee wanainvest sana kwa wanawake,yani wakipenda wanapenda kweli na hawawazi kuwahudumia wapendwa wao

Mwisho wa siku,mume kasema hataacha hili jambo lipite hivi hivi anaenda na ile simu kwa DCI, MAMBO YA POLISI HUKO

Nilijifunza kingine ni kwamba wanawake Wikipenda wamependa kweli ila ishu ni kwamba wanaolewa na watu wasio wapenda,ndio maana wakikutana na wanao wapenda wapo radhi kufanya chochote ili mradi wawe na huyo huyo mwanaume wa ndoto yao

Just imagine wanawake ambao wamecheat wengi wamefanyiwa mambo makubwa na waume zao,ikiwemo kujengewa nyumba wao binafsi na familia zao,lakini wanasahau yote hayo

Ndio maana inasemwa wanawake wapo royal kwa hisia zao,na si majumba au magari au dhahabu


View: https://youtu.be/DJ_Kwr5ElW0?si=0zwhU1D1CPMboeps


See you next time

Alamsik!
 
We are happy to hear that dude,keep following my post you will see a lot of people are suffering in the name of love

But life has to move on,you fell once you stand up and move on dude
Yeah man, we must move on. Everythings especially people are temporary and so feelings too. I take my time, go back to my hobbies. Now I feel pretty much good. I love you bro by stay here on my side,🫂
 
Hatimaye walokole wamefikiwa,Mwanamke wa Kilokole ataka kumuua mumewe kwa ajili ya Robert

Wadau wa usiku wa Manane napenda kukiri hiki kisa kimenifanya nilengwe na machozi, women nawaita mara tatu "HUWA NINI MNATAKA?"

Kwanza naomba mfahamu kwamba hivi visa ninavyoleta ni true story kabisa kutoka kwenye show inayoitwa Comrades flavor,ni ushuhuda tosha wa usaliti katika mapenzi

Kwahiyo sichapishi hapa kama burudani tu,bali ni kujifunza,kujifariji na kuchukua tahadhari kwenye swala zima la mapenzi,mahusiano na ndoa

Usikose kujoin Mtaa wa Usiku wa Manane daily for more exclusive, hii sasa ni kazi yangu maalumu kuleta awareness katika jamii.

Here is the story:

Kwanza hawa wanandoa walianza na mawaidha mazuri sana juu ya kuchagua mwenza mzuri wa maisha,ikiwemo kujuana kabla ya ndoa,kujua historia ya mwenza na mambo yote ambayo ni muhimu kwa kupata mke au mume bora

Na wakasema wao ni walokole,na wakasisitiza juu ya kumtegemea Mungu na hivyo kuwapa ndoa bora na imara

Guess what? Don't trust sweet words kutoka kwa watu lau ukiwajua kiundani utajua hujui

So ikaja segment ya kukagua simu zao, mpaka sasa nimeangalia video nyingi lakini men are clean,siwezi sema hakuna wanaume kimeo ,wapo na tutawafikia tu hapa hapa mtaani kwetu Usiku wa Manane

Mume kachekiwa yupo sawa,kasheshe simu ya wife sasa

Meseji moja wife anamwambia mchepuko wake,nawashwa chini huku sijui umeniambukiza ugonjwa? Jamaa akajibu hata mimi nahisi kama sipo sawa vile,mchepuko akaendelea kusema " ila nahisi ni mke wangu maana simuelewi siku hizi anabadilisha password kila wakati"

Mke mlokole akasema basi tuanze kutumia kinga sasa,maana toka nilale na wewe sijalala na mume wangu

Mchepuko wa mke akasema " ukienda kupima infections basi uniambie hayo majibu ili nami ninywe dawa"

Kuna mambo mengi ndani yake lakini ambalo limenifanya nilengwe machozi ni mke kupanga mpango wa kumuua mume wale ili wafaidi vizur mapenzi yao,yani wawe free

Halafu injinia wa hii ishu inaonekana ni mke coz anamwambia huyo Robert "kwani tumefanya deal ngapi tushindwe kumuweka under 6feet huyu mume wangu

Tena anasema hakikisha unamuua mbali huku na ikowezekana simu yake itupwe mbali huko ili kuwa changanya polisi kwenye upepelezi wao

Guys nilikuwa naangalia hii video ambayo ntaiweka huku nalengwa na machozi,women women women kwanini lakini?

Mwisho wa siku mke anaulizwa kwanini unataka kuniua,je nimefanya mambo mangapi kwenu,nimejenga kwenu na mambo kibao,ila nilichojifunza wanaume wa Kenya aisee wanainvest sana kwa wanawake,yani wakipenda wanapenda kweli na hawawazi kuwahudumia wapendwa wao

Mwisho wa siku,mume kasema hataacha hili jambo lipite hivi hivi anaenda na ile simu kwa DCI, MAMBO YA POLISI HUKO

Nilijifunza kingine ni kwamba wanawake Wikipenda wamependa kweli ila ishu ni kwamba wanaolewa na watu wasio wapenda,ndio maana wakikutana na wanao wapenda wapo radhi kufanya chochote ili mradi wawe na huyo huyo mwanaume wa ndoto yao

Just imagine wanawake ambao wamecheat wengi wamefanyiwa mambo makubwa na waume zao,ikiwemo kujengewa nyumba wao binafsi na familia zao,lakini wanasahau yote hayo

Ndio maana inasemwa wanawake wapo royal kwa hisia zao,na si majumba au magari au dhahabu


View: https://youtu.be/DJ_Kwr5ElW0?si=0zwhU1D1CPMboeps


See you next time

Alamsik!

Tag me every post nying znanipita
 
Safi, hahaha mwanzilishi keshalala achia watu wa usiku! Mimi nipo hapa nimekaa ndani nikitizama ile kitu ya Netflix nikashindwa kuielewa, nikasema bora nija hapa tupige story. Mke wangu naye amekwenda kulala mapema, sasa mimi nimebaki nikitembea nyumbani kama mzimu. Unajua usiku wa manane ndio huo mawazo yanakuja mengi, unafikiria maisha yako yote mpaka unakumbuka makosa ya miaka ya nyuma! Haha usingizi ukikata bora ujipatie kitu cha kufanya, mimi naanza kuhesabu ng'ombe wa jirani sijui anao wangapi. lol
 
Hatimaye walokole wamefikiwa,Mwanamke wa Kilokole ataka kumuua mumewe kwa ajili ya Robert

Wadau wa usiku wa Manane napenda kukiri hiki kisa kimenifanya nilengwe na machozi, women nawaita mara tatu "HUWA NINI MNATAKA?"

Kwanza naomba mfahamu kwamba hivi visa ninavyoleta ni true story kabisa kutoka kwenye show inayoitwa Comrades flavor,ni ushuhuda tosha wa usaliti katika mapenzi

Kwahiyo sichapishi hapa kama burudani tu,bali ni kujifunza,kujifariji na kuchukua tahadhari kwenye swala zima la mapenzi,mahusiano na ndoa

Usikose kujoin Mtaa wa Usiku wa Manane daily for more exclusive, hii sasa ni kazi yangu maalumu kuleta awareness katika jamii.

Here is the story:

Kwanza hawa wanandoa walianza na mawaidha mazuri sana juu ya kuchagua mwenza mzuri wa maisha,ikiwemo kujuana kabla ya ndoa,kujua historia ya mwenza na mambo yote ambayo ni muhimu kwa kupata mke au mume bora

Na wakasema wao ni walokole,na wakasisitiza juu ya kumtegemea Mungu na hivyo kuwapa ndoa bora na imara

Guess what? Don't trust sweet words kutoka kwa watu lau ukiwajua kiundani utajua hujui

So ikaja segment ya kukagua simu zao, mpaka sasa nimeangalia video nyingi lakini men are clean,siwezi sema hakuna wanaume kimeo ,wapo na tutawafikia tu hapa hapa mtaani kwetu Usiku wa Manane

Mume kachekiwa yupo sawa,kasheshe simu ya wife sasa

Meseji moja wife anamwambia mchepuko wake,nawashwa chini huku sijui umeniambukiza ugonjwa? Jamaa akajibu hata mimi nahisi kama sipo sawa vile,mchepuko akaendelea kusema " ila nahisi ni mke wangu maana simuelewi siku hizi anabadilisha password kila wakati"

Mke mlokole akasema basi tuanze kutumia kinga sasa,maana toka nilale na wewe sijalala na mume wangu

Mchepuko wa mke akasema " ukienda kupima infections basi uniambie hayo majibu ili nami ninywe dawa"

Kuna mambo mengi ndani yake lakini ambalo limenifanya nilengwe machozi ni mke kupanga mpango wa kumuua mume wale ili wafaidi vizur mapenzi yao,yani wawe free

Halafu injinia wa hii ishu inaonekana ni mke coz anamwambia huyo Robert "kwani tumefanya deal ngapi tushindwe kumuweka under 6feet huyu mume wangu

Tena anasema hakikisha unamuua mbali huku na ikowezekana simu yake itupwe mbali huko ili kuwa changanya polisi kwenye upepelezi wao

Guys nilikuwa naangalia hii video ambayo ntaiweka huku nalengwa na machozi,women women women kwanini lakini?

Mwisho wa siku mke anaulizwa kwanini unataka kuniua,je nimefanya mambo mangapi kwenu,nimejenga kwenu na mambo kibao,ila nilichojifunza wanaume wa Kenya aisee wanainvest sana kwa wanawake,yani wakipenda wanapenda kweli na hawawazi kuwahudumia wapendwa wao

Mwisho wa siku,mume kasema hataacha hili jambo lipite hivi hivi anaenda na ile simu kwa DCI, MAMBO YA POLISI HUKO

Nilijifunza kingine ni kwamba wanawake Wikipenda wamependa kweli ila ishu ni kwamba wanaolewa na watu wasio wapenda,ndio maana wakikutana na wanao wapenda wapo radhi kufanya chochote ili mradi wawe na huyo huyo mwanaume wa ndoto yao

Just imagine wanawake ambao wamecheat wengi wamefanyiwa mambo makubwa na waume zao,ikiwemo kujengewa nyumba wao binafsi na familia zao,lakini wanasahau yote hayo

Ndio maana inasemwa wanawake wapo royal kwa hisia zao,na si majumba au magari au dhahabu


View: https://youtu.be/DJ_Kwr5ElW0?si=0zwhU1D1CPMboeps


See you next time

Alamsik!

Homie why women women
Kama vile nyie mko perfect?
 
Safi, hahaha mwanzilishi keshalala achia watu wa usiku! Mimi nipo hapa nimekaa ndani nikitizama ile kitu ya Netflix nikashindwa kuielewa, nikasema bora nija hapa tupige story. Mke wangu naye amekwenda kulala mapema, sasa mimi nimebaki nikitembea nyumbani kama mzimu. Unajua usiku wa manane ndio huo mawazo yanakuja mengi, unafikiria maisha yako yote mpaka unakumbuka makosa ya miaka ya nyuma! Haha usingizi ukikata bora ujipatie kitu cha kufanya, mimi naanza kuhesabu ng'ombe wa jirani sijui anao wangapi. lol
Nimeipenda hii 🤣🤣
 
Back
Top Bottom