Wapo hapa kama wawili hivi nawaona.Hahahaha, wanawake wenyewe wako wapi sasa
Wapo hapa kama wawili hivi nawaona.Hahahaha, wanawake wenyewe wako wapi sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishawahi kuisikia hii, eti kabla yakuanza kunywa wanabana suruali kwenye miguu[emoji23][emoji23]
Sasa starehe gani hiyo?!
Sawa.Ushakosa mke mm ss
Acha wafu wazike wafu wao hakuna namnaWahenga wa kibeberu wanasema die for what you love.
Hadi aibuDogo kakalisha watu wanasubili daku wacheze bila kinyago yeye kachomesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo msemo mingine inawamislead watu hakika.Wahenga wa kibeberu wanasema die for what you love.
Sure bro wacha ipite na upepo wake.Saiz tunapambania kuvuka hii 2020 tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo asubh unapisha na njemba imeoga ila inanuka kama jalalaSasa amekunywa pombe na kujisaidia unategemea anukie?[emoji23][emoji23]
Yaaah inae %Kwani skuhizi ina alcohl percentage?!
M nakumbuka zamani watu wakinywa 2+ wanajisaidia
Sema wengi wao hua wananuka balaaa
Mimi ndiyo naifuata ivyo😜Huko si kuna corona mpk wabunge baadhi wanakimbia
Hii ndo ipi mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hiyo kuna mnyama Verve ukinywa kwa pupa anakukausha maji na unarudisha namba mapema sana.
Sent using [emoji106]
Nikajua wewe ni mke wa mtu ujue ? Numuache mke wangu wa 3, ili nafasi uchukue, maana kwa hiyo avatar yako, tunaita ngumu kumeza.Ushakosa mke mm ss
Tunakutana na kesi zao sana hapa central polis dawati la jinsia na Ustawi JamiiWengone no wababa wa mafamilia watu wazima wakuwaambia shkamoo baba,babu
Ngapi zamani nilikuaga baskia haina enzi inauzwa kichupa 300Yaaah inae %
Sent using [emoji106]
Hii ni ngumu hata kutafunika lazima utatema utupe tuNikajua wewe ni mke wa mtu ujue ? Numuache mke wangu wa 3, ili nafasi uchukue, maana kwa hiyo avatar yako, tunaita ngumu kumeza.
Ukimaliza mchezo tupeane malocation ya kugongea juice za ukwaju..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha nivimbe mpaka Posta kule nimpeleke maabara kuu
Ngoja kwanza.Hii ni ngumu hata kutafunika lazima utatema utupe tu