JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Baada ya Korona mwaka 2023 watoto wakiitwa majina shuleni:
1. Covid Shekorona
2. Karantin Chuwa
3. Barakoa Nchimbi
4. Mwantumu Barakoa
5. Sanitaiza Sanga
6. Lockdown Julius
7. Wuhan Joseph
8. Mkaratusi Atufigwegwe
9. Mwarobaini Kibiriti
10. Fusho Mwakibinga.
11. Nyungu Alex
12. Funikiza Adam
13.Infifiro bishop.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

I'm on that good kush and alcohol
Aise[emoji28]

Sent using [emoji106]
 
Ni pombe ya Zambia kama sio Malawi ina umaarufu wake pia.
Kama unafuatilia bongo fleva wameitaja kwenye nyimbo ya "Nikagongee"

Sent using [emoji106]
Hivi unajua pombe kali nyingi zinakausha maji? Kama mwili wako uko vizuri na ubongo unarespond haraka lazima utasikia kiu baada ya kunywa kinywaji chochote kikali
Am talking by experience
 
Back
Top Bottom