Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
😀😀Naomba urudi chumbani hatujamaliza maongezi plz
We mzee bwana
😀😀Naomba urudi chumbani hatujamaliza maongezi plz
Nipo hadi kuchele, urudi alfajiri[emoji23][emoji23][emoji23] Nilikuwa nakutegea tu unipokee.
[emoji23]wale wanachekaga hovyoUgoro una stimu mbaya asikwambie mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi kutumia ila kuna mwanangu alikuwa anatumia, basi akishapiga vitu anakuwa hasomeki, macho yamechangamka kama anachungulia kitu. Halafu masikio yanaziba anakuwa hasikii vizuri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna stimu nyingine miyeyusho sana.
Mkuu nasepa funguo hizi hapa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] Ipo vuta subira tu mzee wangu.
Ss zile banana vpUsinifurahishe saiz usiku wote huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujue.
[emoji23][emoji23][emoji23] We mzee ww kwahiyo ww umekuja na mfugo gani sasa hapa?Hakika, leo lindo limechangamka kama mnada wa mifugo vile [emoji3][emoji3][emoji3]
Uko high sekundeVybe inakuwa ipo juu mapema sekunde tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sindio huyu nimekutana nae hapa hela kapoteza full kilioBado muda ndio mtoto katumwa kununua maharage
Kama kulikuwa na mawingu mvua nitakuwa nilikuwa usingiziniIlikuwa jioni na wakati huko kulikuwa na mawingu mazito yake ya mvua.
Halafu full kutematema mate hovyo....[emoji23]wale wanachekaga hovyo
Na walioko addicted wanachezeshaga midomo muda wote hata kama hana ugoro
[emoji23][emoji23][emoji23] Alfajiri nilipo kuna wingu la mvua na upepo wa ubaridi tu hapa ndio huduma nayopata hapa sitaweza kurudi kabisa.Nipo hadi kuchele, urudi alfajiri
Dah ishakula kwetu
Hahahaha, we unajua lkn kwann hutakiwi kuwa hapa[emoji3][emoji3]
We mzee bwana
Msalimie na dulla makabila, sholo na mtoto wa nje ya ndoa [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu nasepa funguo hizi hapa mkuu
01:32 naona kuna meja kunta wamekuja mlangoni kwangu mida hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningejua wadhani ningekuwa hapa Sasa..sijuiHahahaha, we unajua lkn kwann hutakiwi kuwa hapa
Nikaushe bibie ukitaka sema [emoji23][emoji23][emoji23]Ss zile banana vp
[emoji23][emoji23]kama tambuuu wanaboa sana wale watu bora pariki wanamezaga tuHalafu full kutematema mate hovyo....
[emoji28][emoji28][emoji28]balaaa mkuu mambo yote yanaishia getto.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vurugu unaenda fanyia nyumba kwahiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unanifurahisha sana leoUko high sekunde
Halafu dk5 stimu zishaisha inabidi uweke tena ubembee
Nitakutanda baadae poaNikaushe bibie ukitaka sema [emoji23][emoji23][emoji23]