JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wala ugoro na pariki mdo hawahitaji music wale maana stimu sekunde10 uko high
Ugoro una stimu mbaya asikwambie mtu😂😂😂😂😂
Sijawahi kutumia ila kuna mwanangu alikuwa anatumia, basi akishapiga vitu anakuwa hasomeki, macho yamechangamka kama anachungulia kitu. Halafu masikio yanaziba anakuwa hasikii vizuri.😂😂😂😂😂
Kuna stimu nyingine miyeyusho sana.
 
Back
Top Bottom