eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Wapo mbona mmoja tu kaagaNilikua naangalia wale waliowahi lindo siwaoni
Wapo mbona mmoja tu kaagaNilikua naangalia wale waliowahi lindo siwaoni
Walisema wataenda kupalilia lindo la ndaniNilikua naangalia wale waliowahi lindo siwaoni
Wapo wengi tu mkuu humu ndaniHivi ishatokea humu jf watu wakagombea binti hadharani ?
Nimeuliza tu.........
Shukrani Mkiwalinamaansha mkiwa
Basi umeshinda kiongozi. Ila sio mambo ya kujisifia kabisa. Havimfanyi MTU kua mwanaume imara/real gentlemanNna uhakika wewe hukunywa, bali ulifakamia ukazima labda, sisi tunaokunywa wala hatuna hizo viapo, na mambo yanasonga, so usiudanganye umma mkuu, kama kunywa kubaya je tuseme ngono ni mbaya kwakuwa kuna mtu aliyegonga dem siku ya kwanza akaukwaa ukimwi au gono basi awaambie watu wote kule kwenye utam ni nuksi wasije kujaribu
Naomba ukalinde PM yangu hapa tuko Lindo la JFnakulinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bro mimi "nyuki wa mashineni" sina madhara. Kuwa na amani kaka mkubwa.
Mbona unalia ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha kwema lknShukrani Mkiwa
Usiku wa Leo una Maswali FikirishiHivi ishatokea humu jf watu wakagombea binti hadharani ?
Nimeuliza tu.........
Mi nimeshtukia mbona nimetabasam tu, nikaachana nayoKuba pair hapa sizioni au wenzangu hamja noteeeeeee............!
Nami nahitajiNaomba ukalinde PM yangu hapa tuko Lindo la JF