JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Basi umeshinda kiongozi. Ila sio mambo ya kujisifia kabisa. Havimfanyi MTU kua mwanaume imara/real gentleman
Yes nakubali, so refer kwenye comment yako ya mwanzo, unajisifia kuwa unakunywa juice na milk only no beer so wewe unaonekana sio REAL GENTLEMAN mkuu, Be a Gentleman and say you drink occasionally! [emoji848]
 
Yes nakubali, so refer kwenye comment yako ya mwanzo, unajisifia kuwa unakunywa juice na milk only no beer so wewe unaonekana sio REAL GENTLEMAN mkuu, Be a Gentleman and say you drink occasionally! [emoji848]
Wataka nikubali nakunywa wakati sinywi? Hats Sikh hiyo nilikunywa kutokana Na msukumo wa marafiki(tulikua twabishana) kuna vitu vingi vinamfanya mwanaume awe Gentleman ila unywaji was kilevi katu haumfanyi MTU kua G'man
 
Back
Top Bottom