Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Hahah itabd umtafute kwa id nyingine utakayokua unamsifu mzee baba mwanzo mwisho tu.
Nataka nifungue AC ya kumsifu huko twitter afu namtagHahah itabd umtafute kwa id nyingine utakayokua unamsifu mzee baba mwanzo mwisho tu.
Hahah kuna mwana anafanyaga hivo kule twitter daah mpk washkaji tunaonaga noma sana,ye anamsifiiiia afu mwishoni pale anasema huyu ndiye masiha tuliyekua tunamsubiria hahah.Nataka nifungue AC ya kumsifu huko twitter afu namtag
Cv yangu yote naweka pale ili nile mema ya nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jichue mkuu,utakuja fasta tu.
Ushauri wa ajabu kabisa. Mshauriwa please usiuzingatie [emoji1549]♂️[emoji1549]♂️[emoji1549]♂️[emoji16][emoji16][emoji16]Jichue mkuu,utakuja fasta tu.
Hahah ajaribu alete feedback mkuu.Ushauri wa ajabu kabisa. Mshauriwa please usiuzingatie [emoji1549]♂️[emoji1549]♂️[emoji1549]♂️[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi mkuu maana ya ID yako ni nini mkuu,kama hautojali lkn.Lakini hii rule ati hauezi date Ex wa beste yako tunafaa tuachane nayo.We waste a lot of time tukifukuzana na strangers na Kuna referrals[emoji23][emoji23]
Hahaha [emoji23] huyo ataula tu we subiri uoneHahah kuna mwana anafanyaga hivo kule twitter daah mpk washkaji tunaonaga noma sana,ye anamsifiiiia afu mwishoni pale anasema huyu ndiye masiha tuliyekua tunamsubiria hahah.
Dakika sifuri tu atalala huyo[emoji23] asubuhi anaamka na hang overJichue mkuu,utakuja fasta tu.
Amu. ASANTE. Nimekumiss pia. Tupo hapa tunapambana na usiku wa manane. Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Nawasalimu SHIMBA YA BUYENZE nimekumiss