Wakuu!
Members wa JF wengi wameenda Kidogo Shule. Sio wale wa Kuuza kura kwa T-shirts.
Lazima Tuipinge CCM kwa sababu sera ya CCM ni kulinda zaidi maslahi ya Chama kuliko wananchi.
Mimi siamini kila ainayeipinga CCM ni Chadema! mimi Binafsi siikubali kabasi CCM, Lakini mimi sio Chadema.
Hata leo akaja Koffi Annan Kama mwenyekiti wa CCM, Lazima ataonekana hana maana kwasababu ya Sera hii ya kulinda Maslahi ya Chama.
CCM inatakiwa kusoma alama za nyakati. Hiki kizazi Cha wasomi kinaendelea kukua kila kukicha, Hata kule vijijini wanakopata kura kwa kugawa T-shirts, kile kizazi kinapotea sasa.
Ningewashauri CCM wachukue hii kama changamoto wabadilike.
CCM hawalindi maslahi ya chama wanalinda maslahi yao binafsi, wangekuwa wanalinda maslahi ya chama wangetumukia wananchi ili chama kionekane ni bora, lakini sasa wao wanatumikia matumbo yao na kutmia vyombo vya dola ili waendelee kula keki ya nchi hii peke yao