Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Ku focus kwenye nani anayesema, badala ya nini kinasemwa, ni umasikini wa fikra.
Hata kama JF ni ya CHADEMA (which is not necessarily the case), tuambieni kinachosemwa kina mantiki au hakina?
Mgharibi ni kawaida kabisa kujua kwamba NY Times is a liberal leaning paper while Wall St Journal is a Conservative paper, hii haileti ugomvi, kinachotakiwa kuleta ugomvi ni nini kimesemwa, sio nani kasema.
Moja ya sababu za kushindwa kuendelea Afrika ni ukweli kwamba hatuna ideologies, siasa zetu zinafuata personalities. Na kama huna ideologies, huwezi kuwa na middle class iliyo meaningful politically, and the vicious circle contines, huna a politically meaningful middle class thereofore no ideology on and on and on.
Ndiyo maana kila siku ukija hapa utasikia Zitto hivi, Makamba hivi, ukiwauliza watu ideology ya CHADEMA ni nini? Policy ya mambo ya nje ni nini? Wanasemaje kuhusu mazingira, kazi, maji etc?
Wwatu kiiimya.
Umeua!
With that reason is not surprising ukamsikia mwanasiasa anatoka chama kimoja kwenda kingine! akina prof. Safari na akina Shitambala!.what a shame!
Ideology is what makes you!is what makes party..