JamiiForums Issues an Official Responce to CCM allegations: (Press Release)

JamiiForums Issues an Official Responce to CCM allegations: (Press Release)

Status
Not open for further replies.
Ku focus kwenye nani anayesema, badala ya nini kinasemwa, ni umasikini wa fikra.

Hata kama JF ni ya CHADEMA (which is not necessarily the case), tuambieni kinachosemwa kina mantiki au hakina?

Mgharibi ni kawaida kabisa kujua kwamba NY Times is a liberal leaning paper while Wall St Journal is a Conservative paper, hii haileti ugomvi, kinachotakiwa kuleta ugomvi ni nini kimesemwa, sio nani kasema.

Moja ya sababu za kushindwa kuendelea Afrika ni ukweli kwamba hatuna ideologies, siasa zetu zinafuata personalities. Na kama huna ideologies, huwezi kuwa na middle class iliyo meaningful politically, and the vicious circle contines, huna a politically meaningful middle class thereofore no ideology on and on and on.

Ndiyo maana kila siku ukija hapa utasikia Zitto hivi, Makamba hivi, ukiwauliza watu ideology ya CHADEMA ni nini? Policy ya mambo ya nje ni nini? Wanasemaje kuhusu mazingira, kazi, maji etc?

Wwatu kiiimya.

Umeua!

With that reason is not surprising ukamsikia mwanasiasa anatoka chama kimoja kwenda kingine! akina prof. Safari na akina Shitambala!.what a shame!

Ideology is what makes you!is what makes party..
 
The same goes for CCM. Mpaka hatujui CCM bado kinafuata Ujamaa au Market Economy (ubepari)....

Ndiyo maana watu wakisema issues hapa za kuwabana, the most watakachosema "Nyie CHADEMA nyie"

Ka, jibu issues, sio kutoa a blanket dismissals tu.
 
Umeua!

With that reason is not surprising ukamsikia mwanasiasa anatoka chama kimoja kwenda kingine! akina prof. Safari na akina Shitambala!.what a shame!

Ideology is what makes you!is what makes party..
Ideology bongo hata leo ukimuuliza Kikwete ideology ya CCM ni ipi hawezi kukupa jibu.
 
Duniani sijaona chama kibovu kama hiki,mzee mzima anatuhumu jf bila fact!Apotelee huko wala asitutishe,jf haiko kwaajili ya chama chochote hata Chadema wakivuruga watakutana na ukweli tu
 
Hawa jamaa wa CCM wanachekesha kweli kweli.

Aliyewaambia kuwa JF nayo ni gamba n'ani? Wao wameamua kujivua MAGAMBA YA UFISADI,RUSHWA,WIZI WA KURA n.k. waendelee na hayo. Tunaomba Malecela na mjukuu wake Nnape watuachie JF yetu ili tuweze kuwapasha na kuwambia ukweli.

Kama kweli hiyo CC mpya ya CCM iko makini basi WANATAKIWA WAJISAJIRI na JF ili wawe wanaingia na kusoma challenges,maoni,ushauri ili waufanyie kazi ili kuboresha uvuaji wa magamba.

Kama wanaona JF ni tishio kwa chama chao basi waanzishe forum ya kwao na waiite magambaforums/mafisadiforums.

Alamsiki
 
Eti JF inafadiliwa na Chadema. Ok, hata kama ingekuwa kweli, kuna dhambi gan hapo?
 
Advocate Pasco, Advocate Msando Albert, Superman, any update(s) on the impending lawsuit?
 
kwa ifupi JF ni mtandao wa great thinkers so great thinkers tunaona mstakabali wa taifa letu linavopelekwa na hawa watu wachache sasa maendeleo huwa yanaazia kwa watu tunaojua then tuna yapeleka kwa wenzetu then mtashangaa mpaka 2015 JF ina members milion 20 then ndo mtajua who is who
 
Jamiiforum ni Watanzania wote wazalendo waliochoshwa na maisha magumu,uonngozi mmbaya uliojaa dhambi nyingi na mengine mengi.Inamaana Msekwa na akili zake yeye anataka kusifiwa tu bila kukosolewa!?au uzee wake unakaribia kufika ukingoni!?
 
Ideology bongo hata leo ukimuuliza Kikwete ideology ya CCM ni ipi hawezi kukupa jibu.

Ukienda kumuuliza Kikwete swali hili, sitamuona Kikwete ana tatizo, nitamuona muuliza swali ndio ana tatizo! Jema lipi, jibu lipi, tumaini lipi unaweza kulipata kwa mr.Comedian a.k.a Kikwete a.k.a mpiga ngoma a.k.a . Tanzania haina rais for 6 years now!

Kikwete anatamani akilala akiamka iwe 2015 amalize salama, yuko radhi ajifunike gubigubi na blanketi lake mpaka 2015.
 
Hakuna anayeichukia CCM...ni chama cha nyanya zetu,wazazi wetu na tulipo sasa ni ndoto za waliokua na mapenzi mema na nchi hii of whom zama zao zilipita,wakaja wengine wenye mawazo na mtazamo chanya kwao ilihali hasi kwa walioasisi chama chao!

Sioni sababu ya mtenda mema kuogopa kivuli chake...nionavyo zama za CCM zinaelekea ukingoni na kinachotafutwa hapa ni nani wa kuangushia lawama! Lakini nikumbushe kitu,kua JF ni mti mkubwa uliokwisha peleka mizizi yake mbali,hivyo pamoja na makovu yote ya kila mlenga shabaha kujifunzia shabaha yake kitakachokosa sura ni gome la nje tu ila ustawi unaendelea!
 
Advocate Pasco, Advocate Msando Albert, Superman, any update(s) on the impending lawsuit?
Ngabu, kwanza naomba univue hiki kilemba cha ukoka, mimi bado sio advocate!.
Superman alishafanya submission ya cause of action na kuuacha mpira kwa JF management kufikia uamuzi washitaki au wasishitaki.
Naamini JF is dully registed, sijajua memorandum yake kama inatoa powers kwa members wa kawaida wa JF kui sue CCM kwa niaba ya JF, if that is the case, ni kwa Super man, kupata baraka a uongozi na kusonga mbele.
 
Tusidanganyane JF ni mtandao wa chadema na umetumika sana kuichongea serikali na chama tawala kwa wasomaji na kuisaidia chadema sema effect yake ni ndogo sana kwenye jamii ya watanzania wasiyotumia internet.zipo record nyingi sana ambazo utaona hata ukiweka mada mpya inayopingana na JF inafutwa within no time,ila lazima mju kuwa hata kama JF ni ya chadema bado tumo na wanachama wa vyama vingine.
 
Elezeni hela za EPA mlikozipeleka,wekeni straight ya Kagoda,Meremeta,BOT,ya Rada na kusafisha Chama Chenu muone km JF itawasema vibaya...in fact si CHADEMA , CUF, CCM ama chama chochote kitakachotoka kwenye maadili kifumbiwe macho! Huu ni mtandao wa kijamii!
 
CCM imekuwa ikiwapumbaza watz kwa muda mrefu, sasa tumepata platform ya kujua kinachoendelea nyuma ya pazia. Siasa za uficho uficho zimepitwa na wakati. 'Ni enzi ya ukweli na uwazi'
Leta hoja ijadiliwe kutenganisha pumba na mchele, siyo kutumia tbc inayo screen na kuedit maoni just because ni chombo chenye muelekeo wa chama tawala.

Long live JF ! Hapa mpaka kieleweke!
 
Mimi ni mwanachama wa CHADEMA na nilijiunga na JF. Chama chetu kinapigania demokrasia na maendeleo ya dhati kwa Tanzania na watu wake. Tunaamini ni lazima ukiritimba wa CCM katika uongozi wa nchi hii uondolewe kama Tanzania inataka kupiga hatua kwenda mbele.

Wanachama wa CHADEMA watatumia vyombo vyote vya habari, pamoja na mitandao kama Jamii Forums, ili kufikia malengo ya chama ya kukiondoa madarakani Chama cha Mapinduzi. Hii sio siri; na hakuna uhaini au hujuma kwa nchi yetu kwa kufanya hivyo.

Viongozi wa Chadema ni wazalendo wa kweli, wabunifu wa mikakati ya kutatua matatizo sugu yanayowakabili wananchi, na ni jasiri. Hakuna kulala mpaka kieleweke!
 
Ama kweli mfa maji hakosi kutapatapa CHAMA CHA MAGAMBA(CCM) kwisha habari yake.Kumbukeni nyoka mtoto avui gamba,avuae gamba ni nyoka mzee na ndio kifo kinakuwa kinamkaribia.Safi saaaana.Teh,teeeeeh.teeeeeeeeeeeeeeeeeeh!!!!
 
Natafuta neno zuri la kuelezea hisia za Msekwa lakini silipati...!

Kama bado CCM wana mawazo kama hayo ya Msekwa " Yaani kukosolewa ni kukichukia chama na serikali yake" basi hata hawajui kwanini wanavua magamba!

Au tatizo ni la Msekwa pekee hajui mambo ya Dot com. MODs kama mnaweza toa semina elekezi kwa wazee wa ccm uenda bila semina elekezi hawaelewi mambo! Lol...!
 
Stop being paranoid bana. And over-romanticization of the whole ordeal. Nobody has any plans of censoring this place.

Are you talking on behalf of whom!
Would you please dare neither CCM nor the Government does not have any plan? Nevertheless you are not the official spokes personnel.
If, I could be in your stance I could test Mr Msekwa’s Concernments before such conclusion and analyses the fundamental concepts behind Mr. Msekwa's hypothesis! Taking into account that he is the Ruling Party Vice- Chairman, how can't he Vice whatever at his own thinking are nuisances to his party!
Please be reminded that, Msekwa words was made before public and its testable.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom