Huyo mzee kichwa, anajua kucheza na sheria.
Spon ata issue serikali imlipe fidia kwa kumpotezea muda.
Safi sana.
Moja ya vichwa ambavyo Tanzania imebarikiwa kuwa navyo. Tatizo ni serikali kutotumia vichwa hivyo kwa manufaa ya taifa.
 
Mafisadi wanazidi kujikusanya na kufufua team yao chini ya mama samia the killer one
We jamaa bhana,kama aliiba kweli toka 2017 mpaka march 2021 kabla ya magufuli kufariki alishakaa ndani karibia miaka 4 mbona akukutwa na kosa?huyu katoka kisheria unamtwisha zigo rais SSH,je kuna wale waliokua waloikiri kipindi cha magu then wakalipa hela waachie utasemaje!
 
Acha wapige.

Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.

Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?

Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..

Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
Wana CHADEMA wanachopinga ni Rugemalira kufungwa hku upande wa serikali hakuna mshtakiwa hta mmoja. Tulitegemea tuone kina Muhongo, Werema, Ndulu n.k na wao wanabananishwa sio tu private sector. Walioiba pesa stanbic mbona hawakukamatwa? Vp waliokula mgao??

Same na kesi ya kina Sioi unaona wazi kuna uonevu na wao wataachiwa soon if at all bado wapo ndani.

Bottom line serikali ya JPM ilikua biased kwenye mapambano ya ufisadi. Ilikamata wafanyabiashara tu ikaacha wanasiasa. Hivi Nchambi au Lugola kesi zao za ujangili na Rushwa ziliishia wapi??

Muache uonevu
 
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai

Good
 
Mahakamani ndio sehemu ya kuthibitisha wizi wa mtu, miaka mitano mmeshindwa kuthibitisha, nyinyi kama siyo mashetani tuwaite vipi?

Usimweke mtu ndani kama huna ushahidi, unatesa watu bure.


Sawa ukumbuke hawa ni majizi mazoefu yanajua kuiba nakuondoa ushahidi..

Kuibaa sio tatizo tatizo unaiba je na kiasi gani?

mbona hawajakukamat wewe na kukufanyia upelelezi? Haya mambo ni magumu
 
A
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai

Aisee
 
Huyu ndio mwanaume... Unakufa na siri gerezani. Ukitoka unakula nchiii.... Nimempenda kiukweli.
Una uhakika gani kuwa uhuru wake si kutokana na kutoa siri hiyo?

Aliomba nafasi ataje muhusika wa upigaji ule, ulisikia lolote baada ya hapo?

Walioteuliwa juzi ni;
DPP
AG
January

Waliohusika na Ruge kutoka ni?

Wizara iliyopigwa ni?

Wizara zilizo na ulaji zaidi ni zipi, taja 3 tu!

Kashfa za January, hazitoshi hata kumfukuza chama kwa watu wenye maadili?

Kama ameonewa kweli, kwenye huu utawala unaojali na unaofuata sheria na misingi ya utawala bora, Ruge atapaswa kufungua kesi ya Character assassination, defamation na kila aina ya uonevu, kinyume na hapo, ndo wabia wa Bagamoyo harbour hao wanaanza kupangwa
 
Back
Top Bottom