habari ndo iyo..siku izi tukienda weddng bells kununua shela tunakutana nao wanajaribisha shela nao sasa bado unataka kuniaminisha uyu nae mwanaume?....ahhh:A S-cry:nagoma bin nalia babu....mpo wachache pia kubali...ndo mana kuna wadada utawaskia ahh yule nae anataka kunioa lakin ahh sio mwanaume kabsa...lakin kwa nje ukimwona ni njemba kubwa..lina gari....lina mahela ..na kudo ana do..sasa apo utajiuliza sio mwanaume kivip...thk then nipe jibu
unafikiri Asha halijui hili? analijua sana!
mmekua adimu halafu wengi network hazikamati, hii hatari thatha
mmekua adimu halafu wengi network hazikamati, hii hatari thatha
Mwanaume ni mwanaume tuu hata kama mnakutana nao kwenye kununua shela. Lakini bado ile kitu mkia anao na naamini unafiti pale panapo shimo kuingizwa. Hayo mambo mengine yote yanabaki kuwa tabia, either nzuri au mbaya. Upo bi dada Rose1980????
Bishanga,
Wanaume na wanawake wa kweli wamekuwa bidhaa adimu.
That's the best way to put it!!
Duuuuuuuu, Rose leo umekamia kutoa ukweli mtupu bila kutafuna maneno..
Babu DC!!
2u is ok
2me hapananoooooooooooo
kwa mfano kip apo aujaelewa ....labda?
somo bure maswali utalipia...NOTE.
wanawake wangukuwa
wachache pangekuwa hapatosh hapa duniani,ful watu kuuwana,ugomvi daily
kugombea mbunyeee,mungu ana makusudu yake kuwafanya wawe wengi ona hata
takwimu hospitalini katika watoto 10,wawili tu ndo vidume,,,,,,,napenda
sana hii kitu
siyo mikia yote inafukunza nzi mingine kama mapambo vile; we mwanamme mzima ununue shela harafu useme waweza kulenga shimo weyeMwanaume ni mwanaume tuu hata kama mnakutana nao kwenye kununua shela. Lakini bado ile kitu mkia anao na naamini unafiti pale panapo shimo kuingizwa. Hayo mambo mengine yote yanabaki kuwa tabia, either nzuri au mbaya. Upo bi dada Rose1980????
mmekua adimu halafu wengi network hazikamati, hii hatari thatha
wanawake wangukuwa wachache pangekuwa hapatosh hapa duniani,ful watu kuuwana,ugomvi daily kugombea mbunyeee,mungu ana makusudu yake kuwafanya wawe wengi ona hata takwimu hospitalini katika watoto 10,wawili tu ndo vidume,,,,,,,napenda sana hii kitu