Kwanini wanaume walevi hawaoi walevi wenzao?

Kwanini wanaume walevi hawaoi walevi wenzao?

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,775
Reaction score
37,957
Huwa nawaza sana

Tumeambiwa tutaoewa wakufanana nasisi

Kwanini walevi hawaoi walevi wenzao jamani?

Ama wazinzi hawaoi wazinzi wenzao??

Wezi hawaoi wezi wenzao?

Utakuta jitu bar limelewa mbaya linaulizwa unaoa lini pembeni kuna madada wamelewa wanakunywa kama wananyonya pipa ya tbl

Anakujibu wewe nani wanawake wa bar sio kabisaaa

Mimi mke wangu nitampata kanisani

We mlevi wewe kanisa ndio chaka la wanaume walevi sio haya bana

Nawatakia heri walevi wote wanaoenda kuoa Jumamosi hii
 
Huwa nawaza sana

Tumeambiwa tutaoewa wakufanana nasisi

Kwanini walevi hawaoi walevi wenzao jamani?

Ama wazinzi hawaoi wazinzi wenzao??

Wezi hawaoi wezi wenzao?

Utakuta jitu bar limelewa mbaya linaulizwa unaoa lini pembeni kuna madada wamelewa wanakunywa kama wananyonya pipa ya tbl

Anakujibu wewe nani wanawake wa bar sio kabisaaa

Mimi mke wangu nitampata kanisani

We mlevi wewe kanisa ndio chaka la wanaume walevi sio haya bana

Nawatakia heri walevi wote wanaoenda kuoa Jumamosi hii
Mpwa gari bovu huvutwa na zima
 
Back
Top Bottom