me nasema wanaume mpo wengi na mnatosha kila m2 kuwa na wake,tatizo mnapenda kudonoadonoa na kama alivyosema mtambuzi wengi wenu mmeupenda uanamke zaidi(ushoga).ktk wanawake kumi unaopishana nao wa4 ni mashoga tho huwezi mjua mpaka akuvulie.jambo lingine me naona kama Mungu ameamua kupunguza idadai yenu cuz aliyowa2ma myatimize hamyatimizi,mbona enzi za kina ibrahim wanaume walikua wengi jaman?acheni 2we wengi cuz mungu ameona 2naweza kuyatimiza mliyoshindwa kuyatimiza.