jamani wanaume tumekuwa adimu

Bishanga, ha ha ha, unadhani mie muoga kama wewe?

Afu nina mbinu mbadala za kufa mtu.

Ngoja nikupe hizi 2

usiende gest yeyote chagua kama 9, ambazo wahudumu wanakuwa marafiki

hakikisha chumba unachochukua madirisha yanaruhusu kupita na kusepa.

Hakikisha chumba unachochukua sehemu ya dari inaruhusu kupita na kutokea resepsheni juu kwa juu.

Ntakupa zingine badae.
Unanchekesha,toka lini bata akafundishwa kuogelea?
 
Last edited by a moderator:
Hapo Yugoslacia nilipita transit tu, Airport yao ukismile na wafanyakazi wao wanakufanyia discount ya cargo dola 2. Halaf ukivaa flana imeandikwa milosevic wanapunguza 2 nyengine. Wamejitaidi sana

We kloro,kwa nin unachat na kongosho,hujipendi?
 
Kumbe anaishi pale?

Next taimu ntambip kwa LiKe.
Nyani ngabu kapigwa PI,nasikia alirudi na klm,kushuka KIA akakosa nauli ya kuja dar,yuko arumeru anamalizia kurevyu kura wakati anajishinikiza kwa shangingi moja pale.
 
kweli,Dawa ni kwamba wale wanawake wote wanaomiliki wanaume zaid ya mmoja inabidi wawaachie na wenzao wasiokuwa nao
 
Back
Top Bottom