Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #161
Unanchekesha,toka lini bata akafundishwa kuogelea?Bishanga, ha ha ha, unadhani mie muoga kama wewe?
Afu nina mbinu mbadala za kufa mtu.
Ngoja nikupe hizi 2
usiende gest yeyote chagua kama 9, ambazo wahudumu wanakuwa marafiki
hakikisha chumba unachochukua madirisha yanaruhusu kupita na kusepa.
Hakikisha chumba unachochukua sehemu ya dari inaruhusu kupita na kutokea resepsheni juu kwa juu.
Ntakupa zingine badae.
Last edited by a moderator: