Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

katika kuhudumia huko ndo naona acha kazi hapa nikuoe huku nakutafutia kazi nyingine pia uwe karibu yangu hutaki ila huduma unataka
hapo ni kukupiga chini uhudumiwe na wengine kama huwezi fuata masharti yyak

katika kuhudumia huko ndo naona acha kazi hapa nikuoe huku nakutafutia kazi nyingine pia uwe karibu yangu hutaki ila huduma unataka
hapo ni kukupiga chini uhudumiwe na wengine kama huwezi fuata masharti yangu
Kwann mm ndo nifate yako na kwann we usifate yangu wakti wew ndo ulinitongozaaa kuna design ya wanawake hawapendi kuendeshwa kbs yaan bora tuelewana sio kunipelekesha my dear
 
Hahahahah..
Utakuwa wee ni mgeni kwa wanawake.
Kulia na kulalamika ndio silaha yao ya kukumaliza...kama tutakuwa hai mwakani utakuja kuleta mrejesho baada kumuhurumia.
Fikiria mtu analiaje kwenye simu,kwa vi emoji vya machozi ama
 
Kwann mm ndo nifate yako na kwann we usifate yangu wakti wew ndo ulinitongozaaa kuna design ya wanawake hawapendi kuendeshwa kbs yaan bora tuelewana sio kunipelekesha my dear
bora yangekuwa ya maana, yaani nifate ya kukupangia chumba na.kukuwekea fenicha uwe huru na sio ndoa

kuna mdau kasema hapo juu wanawake wa hivyo ni malaya na wanataka kuwa huru ili wagawe poa

kama anajiona ni mwanamke wa aina iyo rahisi tu kila mtu afate njia yake sio kujiliza liza
 
Mkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.

Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk taking.
 
B
Mkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.

Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk takibora
 
Mkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.

Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk taking.
Bora ata wew
 
Kwan huwa tunawapa bila kuiomba
Unaishi sayari gani wewe, amka haraka toka usingizini

Siku hizi Me ndiyo tunazikimbia K kuepuka mikosi isiyo na ulazima na kuendelea kudumisha ndoa kiuaminifu, ila Ke wanatutongoza sana tu sisi Me
 
Kipaumbele chako kwenye kuoa ni shape na sura?

Kama siyo nakushauri achana na huyo mwanamke vinginevyo utakuja kulia
 
Huyu mwanamke nilikutana nae miezi mitatu iliyopita nikiwa katika harakati zangu za kikazi mkoa flani. Alinivutia muonekano wake na tabia (napenda wanawake wapole). Tukaanza mahusiano baada ya wiki mbili za kufahamiana. Mkoa aliopo anaishi kwa ndugu.

Umri ana miaka 25. Anafanya kazi kiwanda cha wahindi. Hawamlipi vizuri kutokana na maelezo yake na kazi anafanya siku sita za wiki, masaa 12 kwa siku. Hua anapewa siku moja tu ya kupumzika. Kwahyo ili tuwe tunaonana inalazimika mimi ndio niwe nasafiri kila napopata nafasi kwa vile tunaishi mikoa tofauti ni umbali wa masaa matatu kati yetu.

Tatizo binti shida hazimkauki. Binti anaomba sana ela. Kuanzia pesa ya nauli ya kwenda na kurudi kazini. Vocha. Kula. Mahitaji yake yote lazima aombe kubustiwa. Nimepiga hesabu kwa wiki pesa ndogo akiomba ni elfu 80, hua haipungui hapo. Sasa hivi ameomba nimpangie chumba nimnunulie na furniture ili tuwe tunakutana kwa uhuru tofauti na hivi tunavyokutana lodge kila nikija.

Kwahiyo nilimkalisha chini. Mshahara wangu haujui lakini ni zaidi ya mara tisa ya ule anaopokea yeye. Nikampa wazo anipe utaratibu nikajitambulishe kwao wanijue. Then aje tuishi wote huku tukitafta project iwe ya biashara au chochote ambacho ataweza kufanya akiwa huu mkoa niliopo mimi kuliko kuendelea kufanya kazi ambayo haimlipi huku akizidi kuniingizia unnecessary costs. Mipango ya ndoa then iendelee.

Amegoma katakata. Anadai kwa sasa kuishi na mwanaume ni mapema mno. Anataka kua independent awe na chumba chake, afanye kazi zake na maisha mengine. Nimemuambia kama haiwezekani basi kila mtu aendelee na maisha yake kuliko kupotezeana mda. Analia. Analalamika nimemchezea. Eti simpendi na simjali na nimebadilika! Binafsi nimeshindwa kumuelewa!
ayo sio mahusiano ila huyo demu kapata ajira kwako. ila kwa vile umemuajir wewe mwenyewe endelea kumlipa
 
Hahahahah..
Utakuwa wee ni mgeni kwa wanawake.
Kulia na kulalamika ndio silaha yao ya kukumaliza...kama tutakuwa hai mwakani utakuja kuleta mrejesho baada kumuhurumia.
Hahahahaha mwanamke anafanya upuuzi halafu anam victimize mwamba
 
Back
Top Bottom