Jakaya Mrisho Kikwete, Wafanyakazi wa Tanzania wanakumiss sana. Pumzika baba, jipe raha, wewe ni binadamu!

img-20221219-wa0001-jpg.2451585

Wafanyakazi wa Tanzania wanakukumbuka kwa nyongeza zako nzuri za mishahara kila mwaka kwa miaka yako yote uliyotumika kama Mwajiri mkuu!! Jipe raha, pumzika kwa raha zako, kazi uliifanya!

Tunajisikia raha tunapokuona unazidi kuwa kijana kila leo! Yaani hapo una miaka 72 lakini ni kama una miaka 55. Hongera sana. Tumpe pia hongera mama Salma Kikwete naona anakulea vizuri sana!

Hongera sana mama. Tungetamani kama ikiwezekana urudi tena ikulu. (Msiniponde mawe, hayo ni mawazo yangu hata kama yanatofautiana na ya kwako).
Nakubali kabisa na naunga mkono hoja huyu alijali maslahi ya wafanyakazi wa Umma hongera sana Ndugu JM Kikwete. Hutasahaulika kamwe
 
Katiba ya nchi inasema mtu hawezi kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa zaidi ya vipindi viwili mfululizo!! Kwa maana hiyo kama siyo mfululizo anaweza kuwa rais!! Tunamtaka Kikwete tena!!
Watu wa kuongoza Tanzania walishaisha???Acheni upumbavu,huwa manaanza hivi hivi halafu mnakuja kufanya uchaguzi wa maigizo na vitisho.
 
Pamoja na hakukuwai kuongezeka mishahara kipindi cha kichaa wa kisukuma hatukuwai kununua mchele kg 3500 ,kipindi cha kichaa yule hela itunzika na mishahara ilikuwa inakutana
Ila nyinyi wafuasi wa jiwe mna hoja dhaifu sana.

Kwa hiyo kipindi cha kikwete uliwahi kununua mchele kwa hiyo hela uliyo itaja?

Kipindi cha kikwete hela ilikuwa inapatikana na bado bidhaa nyingi zilikuwa zinanunuliwa kwa bei ndogo kuanzia vifaa vya ujenzi, sukari, mafuta ya kula,nguo,

yaani kiufupi kipindi cha kikwete huduma zote za msingi zilikuwa ni bei nafuu.

Hata huo umeme wa kipindi cha jiwe ambao mnasema ulikuwa haukatiki vyanzo vyote vimejegwa na kikwete.
 
Ila nyinyi wafuasi wa jiwe mna hoja dhaifu sana.

Kwa hiyo kipindi cha kikwete uliwahi kununua mchele kwa hiyo hela uliyo itaja?

Kipindi cha kikwete hela ilikuwa inapatikana na bado bidhaa nyingi zilikuwa zinanunuliwa kwa bei ndogo kuanzia vifaa vya ujenzi, sukari, mafuta ya kula,nguo,

yaani kiufupi kipindi cha kikwete huduma zote za msingi zilikuwa ni bei nafuu.

Hata huo umeme wa kipindi cha jiwe ambao mnasema ulikuwa haukatiki vyanzo vyote vimejegwa na kikwete.
We mbona unachanganya madensa tunaongelea kipindi cha jpm na ssh ebo!!!!
 
Dawa ni Katiba mpya.
Hivi kwanini hatuoni kama tupo nyuma sana kimaendeleo ukilinganisha na muda wa toka tupate uhuru wetu? Ndio kwanza tunapongezekana kuongeza mishahara na sio kuondoa changamoto zetu zile sugu.
 
Hii nchi imejaa wajinga wengi. Bado ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania na bado ni mzigo mzito sana kwa Watanzania.

Katika serikali ya hovyo Tanzania na iliyoigharimu Tanzania ni ya huyu jamaa. Mikataba ya hovyo imesainiwa na huyu jamaa, mifumo ya hovyo ya rushwa, kujuana, utendaji mbovu, nk ni kwa huyu jamaa.

Niwape mfano mdogo, juzi mmesikia Tanzania imewalipa simbioni bilioni 350, mkataba wa simbioni alisaini nani? Ule mkataba ulikua wa hovyo haijawahi kutokea mbinguni wala Duniani, hata bingwa wa mikataba ya hovyo bwana mangungo wa msovero asingesaini ule mkataba. Sisi kwetu hakukua na ahueni ya eitha kuuvunja ama kuendelea nao, yaani kote kote ni lose lose situation, magu akaamua kuuvunja potelea pote.

Huo ni mfano mmoja tu.

Ni basi tu hii nchi haijielewi ila mojawapo ya watu waliopaswa kua jela mi mshikaji kwa nchi zilizoendelea.

Anyway, kwa kua hii nchi majinga ni mengi yataendelea kumshangilia. Kazi iendelee.
 
Pamoja na hakukuwai kuongezeka mishahara kipindi cha kichaa wa kisukuma hatukuwai kununua mchele kg 3500 ,kipindi cha kichaa yule hela itunzika na mishahara ilikuwa inakutana
Halafu ikawaje?Atabakia kuwa rais mjinga kuwahi kutokea.Ukinuna mimi nipo paleeee navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.
 
Hii nchi imejaa wajinga wengi. Bado ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania na bado ni mzigo mzito sana kwa Watanzania.

Katika serikali ya hovyo Tanzania na iliyoigharimu Tanzania ni ya huyu jamaa. Mikataba ya hovyo imesainiwa na huyu jamaa, mifumo ya hovyo ya rushwa, kujuana, utendaji mbovu, nk ni kwa huyu jamaa.

Niwape mfano mdogo, juzi mmesikia Tanzania imewalipa simbioni bilioni 350, mkataba wa simbioni alisaini nani? Ule mkataba ulikua wa hovyo haijawahi kutokea mbinguni wala Duniani, hata bingwa wa mikataba ya hovyo bwana mangungo wa msovero asingesaini ule mkataba. Sisi kwetu hakukua na ahueni ya eitha kuuvunja ama kuendelea nao, yaani kote kote ni lose lose situation, magu akaamua kuuvunja potelea pote.

Huo ni mfano mmoja tu.

Ni basi tu hii nchi haijielewi ila mojawapo ya watu waliopaswa kua jela mi mshikaji kwa nchi zilizoendelea.

Anyway, kwa kua hii nchi majinga ni mengi yataendelea kumshangilia. Kazi iendelee.
Una maelezo mengi kweli.Hiyo mikataba ilikudhuru nini?Ulikosa ugali?Hukuoga?Ulifungwa jela?Mpe mtu sifa yake kabla hajasafiri!
 
Halafu ikawaje?Atabakia kuwa rais mjinga kuwahi kutokea.Ukinuna mimi nipo paleeee navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.
Sababu alikupiga dole la vyeti feki hauwezi ukamuelewa kamwe,we panic ila na mimi nipo kule VIP nakula bange langu la kwenye shisha maisha ndo hayahaya.
 
Hii nchi imejaa wajinga wengi. Bado ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania na bado ni mzigo mzito sana kwa Watanzania.

Katika serikali ya hovyo Tanzania na iliyoigharimu Tanzania ni ya huyu jamaa. Mikataba ya hovyo imesainiwa na huyu jamaa, mifumo ya hovyo ya rushwa, kujuana, utendaji mbovu, nk ni kwa huyu jamaa.

Niwape mfano mdogo, juzi mmesikia Tanzania imewalipa simbioni bilioni 350, mkataba wa simbioni alisaini nani? Ule mkataba ulikua wa hovyo haijawahi kutokea mbinguni wala Duniani, hata bingwa wa mikataba ya hovyo bwana mangungo wa msovero asingesaini ule mkataba. Sisi kwetu hakukua na ahueni ya eitha kuuvunja ama kuendelea nao, yaani kote kote ni lose lose situation, magu akaamua kuuvunja potelea pote.

Huo ni mfano mmoja tu.

Ni basi tu hii nchi haijielewi ila mojawapo ya watu waliopaswa kua jela mi mshikaji kwa nchi zilizoendelea.

Anyway, kwa kua hii nchi majinga ni mengi yataendelea kumshangilia. Kazi iendelee.
Aliye sababisha hiyo hasara ni aliye vunja huo mkataba kiholela ili upate umaarufu wa kisisa, na nadhani una mjua ila una jitoa ufahamu.
 
😂😂😂😂😂Fuata ushauri wa Zitto.Bado kuna ka-nafasi pembeni ya kaburi lake.Do it,now!
Hayo ni maoni tu lakini cha ajabu hayatakiwi hata kama ni maoni huru, tumepoteza ndugu na jamaa wengi, kwani na wao hawana nafasi pembeni? Kauli ya Zito ni ya Kinafiki kama yeye Mwenyewe. Yeye alivyokuwa anamlilia Mama yake Mzazi mbona watu hawakumwambia kuna nafasi pembeni? Hawa wanasihasa rushwa na tamaa vimewatawala na kuwafanya wawe ni watu wa kufanya dhihaka, kiburi na kufuru.

Mfuatilie Zito kauli zake kila siku anabadilika kama Kinyonga hana msimamo.
 
Familia ya Daud Mwangosi na Alfonsi Mawazo zinamkumbuka pia.

Mama Janet naye hatakusahau pia
 
Back
Top Bottom