Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

UmkhontoweSizwe

Platinum Member
Dec 19, 2008
8,543
7,755
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake? Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.


Aseme nini wakati yeye pia alikuwa na kitabu chake katika zama zake!!, hizi sio zama za JK bali ni zama za SSH, kila zama na kitabu chake.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake? Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Unaweza kuta yeye ndio kainunua.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake? Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Unamuuliza mzee wa mbinumbinu?

Anajua anachokifanya
 
Siku hz habari haiwi habari bila kumtukana jk.

Ee Mungu, nijaalie moyo wa kijasiri uliojaa subra na uvumilivu kama wa jk niweze kuyakabila ya dunia hii ovu bila ya kuwaumiza wanaokesha kwa ajili ya kuniumiza!
Umesikia kauli yake juu ya hili zengwe?
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake? Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Mbona msimamo wa wana ccm waandamizi unajulikana wazi kuwa ni kama huu hapa...
👇
1686549157711.png
 
Back
Top Bottom