Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,105
- 28,059
Kwajina la YesuPepo la Aina hii lishindwe kabsaa
Kwajina la YesuPepo la Aina hii lishindwe kabsaa
Dhuuuuu nachoshukuruTutachanga tu bali upendo lakini x10 sio zinapatikana halafu unaniona nimepitwa na wakati hapo yaani mmmmmmmmhhh
EimeeenKwajina la Yesu
Tonight lala unonoAmina kubwa, usiku mwema
Hapo tunafika bila hiyana yeyote, lakini shetani ananguvu ukilegea tu huyu hapaDhuuuuu nachoshukuru
Cjawah kuwa na wazo la
Aina hyo kwa ubongo asee
You are like my family
AmenTonight lala unono
Hapana kabsa nakaza nlipoanziaHapo tunafika bila hiyana yeyote, lakini shetani ananguvu ukilegea tu huyu hapa
watoto hajapandikiza alimkaza akampatia mimba ya mapachaHivi huyu mzee huwa anamkaza kweli??
Mengi is the man of her dreamsAsa unadhani huyo dada atakuwa na maneno gani zaidi ya hayo kwa huyo bwana mkubwa
Nani ka kwambia kuwa matajiri hawali ugali au dagaa? Hiyo ni fikra moja negative masikini akitajirika ndo anakula burger na kyeepe ana kusumbia wengine.Jackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
Hivi mpaka leo unaamini dagaa na kisamvu ni chakula cha watu masikini? Dah tupo nyuma sana!Jackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
Asa unadhani huyo dada atakuwa na maneno gani zaidi ya hayo kwa huyo bwana mkubwa
Tuzitafute pesa kwa udi na uvumba wadhani kama huyo mzee angekuwa ananuka ugoro au tumbaku (gosso)angepewa busu zito mbele ya hadharal watu?View attachment 727562 Aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000 na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, Jacqueline Ntuyabaliwe, mwaka 2015 alifunga pingu za maisha na mfanyabiashara mkubwa na maarufu Tanzania, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya IPP Media, Dk. Reginald Abraham Mengi
Jacqueline siku ya leo akiwa anasherekea miaka mitatu ya ndoa yake ameandika ujumbe mzito kwa mume wake Regnard Mengi ambaye tayari amemzalia watoto.
Amesema ”You’re my everything,I couldn’t have asked for a better man to call my husband.Thank you for spending your life with me and thank you for a beautiful love.Happy Anniversary to us.❤”.
Akimaanisha, Wewe ni kila kitu kwangu, siwezi kutaka mwanaume mwingine na kumuita mume wangu. Asante kwa kutumia/kuishi maisha yako na mimi, asante kwa upendo wako mzuri. Heri ya siku ya maadhimisho ya ndoa yetu.
Jacqueline amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa instagram, huku maneno hayo yakiwa yameambatanishwa na picha mbili za kumbukumbu ya siku ya harusi yao.
Jacqueline na Mume wake Mengi walifanya sherehe hiyo nchini Mauritius, ambapo ilihudhuriwa na watu 50 tu ikiwa ni ndugu na marafiki wa karibu wa wawili hao.
Harusi yao ni moja kati ya harusi kubwa na za kifahari zilizowahi kufanywa na watanzania.
Mungu aibariki ndoa ya wawili hao, wakapate kuishi milele na kutenganishwa na kifo pekee.
Chanzo: Dar 24
Tajiri atafte nini kwenye dagaa!
kama una njaa hata mtu akikuita darling huwezi kumsikia!
We acha tuu mzee kanunulishwa private Jet...chezea madada wa mujini
....hizi ni kufuru zako tu !Jackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!