usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,101
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikija kuwa mkubwa ntafanya kama Mengi
20years mbelen
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikija kuwa mkubwa ntafanya kama Mengi
Nzuru kabisa mie sijambo, habari ya wewe[emoji23] [emoji23]
Nzur kabsa za kwako
Mwana mpotevu
Ndege wafananao huruka pamojaSawa kila la heri kwao, ama kweli ukiwa karibu na uwaridi nawe utanukia
Braza yule sanders wa KFC alikuja kytoboa akiwa na 80, sasa na mimi hata nikiwa nina miaka 90[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
20years mbelen
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] nakwambia pesa sabuni ya roho wanasema wanyenyua vyuma wataishia kuwa mabodigad wa wenye pesa zao na warembo waoHahahah
Halaf mimi btanyang'anya mke wa kinana mmoja
Kuonesha uwezo tuu. Pesa bhana kweli inanunua mahaba
Salama kabsa namshukuru MunguNzuru kabisa mie sijambo, habari ya wewe
Haa haa na kwel aiseeeBraza yule sanders wa KFC alikuja kytoboa akiwa na 80, sasa na mimi hata nikiwa nina miaka 90
Natafuta ka klynn kangu
Hahahah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] nakwambia pesa sabuni ya roho wanasema wanyenyua vyuma wataishia kuwa mabodigad wa wenye pesa zao na warembo wao
Mie ni safi, nilikuwa nimeaga lakini nikaamua nije nikusalimie kabla sijaenda pumzika, je umepona!Salama kabsa namshukuru Mungu
Niko ok kabsa
Nlikua tu. nakuhofia ww
[emoji116] [emoji116] [emoji116][emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] nakwambia pesa sabuni ya roho wanasema wanyenyua vyuma wataishia kuwa mabodigad wa wenye pesa zao na warembo wao
Ndege wafananao huruka pamoja
Kila raheriBraza yule sanders wa KFC alikuja kytoboa akiwa na 80, sasa na mimi hata nikiwa nina miaka 90
Natafuta ka klynn kangu
HahahahaHaa haa na kwel aiseee
Ka kyln kanakozaliwa Sasa
Hv kajiandae kabsa ukifkisha
90 unakabeba juuu juuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahah
Yes, kuna jamaa yangu alikuwa ana niambia "asee braza Gym twende ila tusosahau kutafuta dollar." [emoji23]
Vijana wanaumizwa sana hapa town yaan
HahahahaKila raheri
Haa haa kk hakuna kukata tamaaHahahaha
Tusichoke ku hustle kaka.
Hahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kijana uko gym lkn
Bado anawaza Dolla
Kweli men tumeumbwa mateso
Wadada wengi sana wanatamanIla kuna mda ukimuungalia Jacky unaweza piga moyo konde aiseee ..... Maisha ndo haya haya kama mapenzi ushafanya saana nini tena unataka!!!! Bora umpumzikie kwenye pesa hata kama mtu unashindwa kumuangalia usoni [emoji855][emoji855][emoji855]
Matembele, mwidu, sukuma wiki....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Jackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
Na wewe akitokea mzee kama Mengi, una enda naye sawa tuu?Ila kuna mda ukimuungalia Jacky unaweza piga moyo konde aiseee ..... Maisha ndo haya haya kama mapenzi ushafanya saana nini tena unataka!!!! Bora umpumzikie kwenye pesa hata kama mtu unashindwa kumuangalia usoni [emoji855][emoji855][emoji855]