MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,709
- 21,872
Waongo sana hawa aaahh hhhaakumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Waongo sana hawa aaahh hhhaakumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
ha ha itakuwa 20K mkuu, aliyonunulia kifuniko cha asali pendwakumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Anafurahia mali maana za chini ya kapeti sasa hivi mzee dakika mbili timamu mbili kazubaaa..Hata kwenye mikutano ya hadhara anajitahidi tuu.Ila mzee kiafya yuko vibaya mno na haka kadada kakombioni kumfirisi.Wazee wa udaku mi nimeishia hapo..nyi endelezeeni kuanzia hapa .View attachment 727562 Aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000 na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, Jacqueline Ntuyabaliwe, mwaka 2015 alifunga pingu za maisha na mfanyabiashara mkubwa na maarufu Tanzania, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya IPP Media, Dk. Reginald Abraham Mengi
Jacqueline siku ya leo akiwa anasherekea miaka mitatu ya ndoa yake ameandika ujumbe mzito kwa mume wake Regnard Mengi ambaye tayari amemzalia watoto.
Amesema ”You’re my everything,I couldn’t have asked for a better man to call my husband.Thank you for spending your life with me and thank you for a beautiful love.Happy Anniversary to us.[emoji173]”.
Akimaanisha, Wewe ni kila kitu kwangu, siwezi kutaka mwanaume mwingine na kumuita mume wangu. Asante kwa kutumia/kuishi maisha yako na mimi, asante kwa upendo wako mzuri. Heri ya siku ya maadhimisho ya ndoa yetu.
Jacqueline amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa instagram, huku maneno hayo yakiwa yameambatanishwa na picha mbili za kumbukumbu ya siku ya harusi yao.
Jacqueline na Mume wake Mengi walifanya sherehe hiyo nchini Mauritius, ambapo ilihudhuriwa na watu 50 tu ikiwa ni ndugu na marafiki wa karibu wa wawili hao.
Harusi yao ni moja kati ya harusi kubwa na za kifahari zilizowahi kufanywa na watanzania.
Mungu aibariki ndoa ya wawili hao, wakapate kuishi milele na kutenganishwa na kifo pekee.
Chanzo: Dar 24
Pesa sabuni ya roho [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha afaudu maisha yenyewe haya!Anafurahia mali maana za chini ya kapeti sasa hivi mzee dakika mbili timamu mbili kazubaaa..Hata kwenye mikutano ya hadhara anajitahidi tuu.Ila mzee kiafya yuko vibaya mno na haka kadada kakombioni kumfirisi.Wazee wa udaku mi nimeishia hapo..nyi endelezeeni kuanzia hapa .
We acha tuu mzee kanunulishwa private Jet...chezea madada wa mujiniPesa sabuni ya roho [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha afaudu maisha yenyewe haya!
Anafurahia mali maana za chini ya kapeti sasa hivi mzee dakika mbili timamu mbili kazubaaa..Hata kwenye mikutano ya hadhara anajitahidi tuu.Ila mzee kiafya yuko vibaya mno na haka kadada kakombioni kumfirisi.Wazee wa udaku mi nimeishia hapo..nyi endelezeeni kuanzia hapa .
We acha tuu mzee kanunulishwa private Jet...chezea madada wa mujini
Pesa !!!!Pesa sabuni ya roho [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha afaudu maisha yenyewe haya!
Naomba niandikie ujumbe mzito damuuUjumbe mzito kwelikweli...
[emoji23][emoji23]umekumbusha malikia wa nguvukumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Ha haa! Mboga gani kuila tu unajisikia kichef chef, huwezi nikuta nakula dagaa nikiwa na pesa.
By the way, kisamvu ni mboga ya makaburini. Ushawahi ona shamba la kisamvu? Kisamvu huwa kinalimwa makaburini. Ukiona shamba la kisamvu ujue hilo ni la mihogo. Sio kisamvu cha mboga.
'Pesa tuu inatosha kumfikisha!.Hivi huyu mzee kweli kwa afya yake aliyonayo saiv anamfikisha huyu mtoto kweli???
Hahahaha yani wew,,,huo mtaji ulikuwa vocha ya voda bila shaka! Enzi za Joji Pojikumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Qumamae,,,ana pesa au uvuzi uvuzi tu!Hahahaaaaaaa,hata Alikiba ana pesa kuliko Bakhesa sema hapendagi show off tu