Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Nauliza alianza na nini hiyo 3500?Angalia ulichoniquote mwanzon na ulichouliza,jibu nimekupa kwakile nilichomaanisha comment yangu ya mwanzo
Nauliza alianza na nini hiyo 3500?Angalia ulichoniquote mwanzon na ulichouliza,jibu nimekupa kwakile nilichomaanisha comment yangu ya mwanzo
[emoji16][emoji16][emoji16] jua Mungu anakuona Acha uchocheziNot bad kwa mtu kuibusu ATM yake...eti ujumbe mzito!
hata Chanel wanzoangalia zitakua za mambwefele huko zinaonesha piza na vizuri vyoteJackie na uzao wake wameokota dodo chini ya mnazi. Yan wana uhakika wa kuishi raha mustarehe maisha yao yoote. Vyakula kama dagaa na kisamvu wataishia kuviona kwenye TV tu!
tafuta pesa endelea kulia lia utaitwa kibamia hadharaniAllah awape upendo, furaha na amani katika ndoa yenu, kumbukeni kumcha Mungu, yeye ndiye mwenye uwezo na nguvu katika ndoa yenu.
kafata nn kwa mengi na uzee ule unaweza kuta anapiga kimoko chali pesa itakifanya uwe handsomeHuyu ndo boss lady orijino unaambiwa hakutegemea wanaume kabisaaaaaa sio kama akina naniii aiseeee
Mkuu,vipi kuhusu mh,pindaPesa ndyo maisha,pesa inaweza kukufanya handsome hata kama uso unamakunyanzi!
Mbele ya pesa kuna kuchoka mkuuLakini babu kachoka sana walahi,
Huyu bibie hana nyota nzuri kabisa
Nauliza alianza na nini hiyo 3500?
Kili moja baridikumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
Well said mkuukumbukeni hadi Klyn kufikia hapo alianza na mtaji wa 3500 na hakukata tamaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] factDagaa+kisamvu
Kwa maskini ni laana
Kwa tajiri ni tiba
Kwangu ni uboreshaji wa afya yangu
Mmmmm[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ni shidaaaaaaaaatafuta pesa endelea kulia lia utaitwa kibamia hadharani
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Mkuu,vipi kuhusu mh,pinda