ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

Usihangaike, jana Nape alishamaliza kazi.

Kz ipi mkuu..nape ni nani kwenye chama? Labda nyerere angekuepo angetishia kurudisha kadi..EL hawezekani hv sasa walichelewa sana kumdhibiti..kama kweli waliona anamakosa!
 
Hata mimi ITV wamenidisappoint sana!

Yaani of all the channels,, ITV? inatumika namna hii!!

Amaa kweli, mafisandi wananguvu mno hapa nchini. The irony is that, the owner ndiye aliyekua mstari wa mbele katika vita dhidi ya mafisadi 2007-2010.
 
Jamaa kila anapoenda anawahadaa kuwa ataanza na iyo sehemmu kufufua viwanda na ajira.
 
Mleta mada anaishangaa ITV wakati ye mwenyewe pia halali anamwaza Lowassa,
Chadema hawalali wanamwaza Lowassa,
Mwnyekiti wa CCM Taifa halali anamwaza Lowassa
Watangaza nia wa CCM wote hawalali wanamwaza Lowassa,
Kinana na Nape hawalali wanamwaza Lowassa,
JF na members wake wote hawana jina jingine walitajalo isipokuwa Lowassa,
Gazeti la Uhuru hawana kingine wanachowaza zaidi ya Lowassa,
......Sasa ikiwa hata msiompenda jina lake halikauki midomoni mwenu,kwanini kuwashangaa ITV wanaopendezwa naye???
 
Paradox...eti ITV wanatangaza habari za Lowassa,na nyie hapa mnasema habari za nani?
 
ITV inaharibu reputation yake kwa kuruhusu kuwa kituo cha propaganda za mafisadi, kwa muda mrefu kweli ITV ndiyo msema kweli wetu sasa kaingia kwenye mtego tutakimbilia wapi? MENGI kashaingia ndani ya 18 za EL kuna kazi tena? kweli pesa nimeamini ni hatari, mzee wetu MENGI amamua kuzika reputation yake kimataifa hivi hivi? ni TV peke yake iliyokuwa ikituletea vitu live, MUNGU wangu me ndorobo nitaangalia TV gani tena? TBC ndiyo majanga. AZAM ni kwa bepabri mpaka uwe na king'amzi na me sina pesa. uwiiii jamani nalia msaada.

Samahani..Mengi na Lowassa Nani tajiri zaid?
 
Kituo cha Televisheni cha ITV leo kimeonyeshwa wazee wa Mwanza wakidai kuwa wanamshawishi Lowasa agombee, huu ni mtiririko wa habari za Lowasa katika kituo hicho ukiwa ni muelekeo wa Kampeni kabla ya wakati

mkuu acha kuweweseka bure. habari za lowasa hutangazwa na vituo vyote vya TV, hasa Chanel 10 ambao humfagilia kila kupitia kwa mwandishi wao aitwaye jamila omar ambaye amekabidhiwa jukumu kumpamba na kumtangaza lowasa kwenye taarifa zao za habari za kila saa 2 usiku. umeelewa?
 
Kituo cha Televisheni cha ITV leo kimeonyeshwa wazee wa Mwanza wakidai kuwa wanamshawishi Lowasa agombee, huu ni mtiririko wa habari za Lowasa katika kituo hicho ukiwa ni muelekeo wa Kampeni kabla ya wakati

wameshuka viwango siku hizi alafu wao wanajua sisi hatuyaoni haya,hatudanganyiki hatutafuti rais wa kupambwa na vyombo vya habari tunamtaka rais anayepambwe kwa utumishi wake kona zote za nchi hii
 
mkuu acha kuweweseka bure. habari za lowasa hutangazwa na vituo vyote vya TV, hasa Chanel 10 ambao humfagilia kila kupitia kwa mwandishi wao aitwaye jamila omar ambaye amekabidhiwa jukumu kumpamba na kumtangaza lowasa kwenye taarifa zao za habari za kila saa 2 usiku. umeelewa?

hatufanyi kazi na wachumia tumbo waandishi wa habari wataona aibu atakapopitishwa mtu mwingine ambaye hawampambi lakini anautumishi wa kutukuka ktk nchi hii,
 
Lowassa ndiye rais wa awamu ya 5, ITV wameishalijua hili, mlitaka wamtangaze nani zaidi?!.

Pasco.

jiandae kisaikolojia haya sio mashindano ya mtu maarufu kwenye vyombo vya habari bali tunamtafuta rais wa viwango vya utumishi ndani ya nchi hii
 
jiandae kisaikolojia haya sio mashindano ya mtu maarufu kwenye vyombo vya habari bali tunamtafuta rais wa viwango vya utumishi ndani ya nchi hii
Mkuu Kanone, wanaotafuta rais wa viwango ni wewe au CCM?. Kama ni wewe, then uko ok lakini kama ni CCM then you are very wrong unless kama CCM ninayoijua mimi imebadilika!. CCM huwa inamteua mgombea ambaye "ni mwenzetu", mgombea ambaye ni mtu wa watu, anayependwa na watu, anayechagulika, na kuweza kuwapatia ushindi. Mtu wa aina hiyo CCM yuko mmoja tuu!. Uadilifu, Rushwa na Ufisadi sio issue kabisa CCM, vitu hivyo vilizikwa na Nyerere, CCM ya sasa ni CCM pesa mbele!. Unless kama CCM imebadilika!.
Pasco
 
Mkuu Kanone, wanaotafuta rais wa viwango ni wewe au CCM?. Kama ni wewe, then uko ok lakini kama ni CCM then you are very wrong unless kama CCM ninayoijua mimi imebadilika!. CCM huwa inamteua mgombea ambaye "ni mwenzetu", mgombea ambaye ni mtu wa watu, anayependwa na watu, anayechagulika, na kuweza kuwapatia ushindi. Mtu wa aina hiyo CCM yuko mmoja tuu!. Uadilifu, Rushwa na Ufisadi sio issue kabisa CCM, vitu hivyo vilizikwa na Nyerere, CCM ya sasa ni CCM pesa mbele!. Unless kama CCM imebadilika!.
Pasco


Mkuu tusaidie tumfahamu huyo mmoja mwadirifu ndani ya CCM.
 
Mkuu tusaidie tumfahamu huyo mmoja mwadirifu ndani ya CCM.
Kikawaida mtu anatakiwa kuuliza maswali, lakini hapa wewe unauliza majibu, nikujibu nini?!.

Nenda google uka seach "the one and only CCM" jina litakuja!.

Pasco
 
Kikawaida mtu anatakiwa kuuliza maswali, lakini hapa wewe unauliza majibu, nikujibu nini?!.

Nenda google uka seach "the one and only CCM" jina litakuja!.

Pasco

Mkuu nimetafta google kwa hayo maneno ulioandika jibu limekuja kwamba ni Makongoro Nyerere.
 
Back
Top Bottom