Chakii acha majungu
Wakuu nilikuwa naipenda ITV na mdogo wake EATV lakini tangu huyu fisadi, mwizi mtoa rushwa Endward Lowasa achukue fomu imekuwa ndiyo vificho na mataulo ya kumsafisha, naombeni jinsi ya kuzi delete hizi TV. sitaki dhambi ya huyu mwizi inikute.
Usihangaike, jana Nape alishamaliza kazi.
Huwezi ku delete nembo ya taifa we ndooorrrooobo
Wakuu nilikuwa naipenda ITV na mdogo wake EATV lakini tangu huyu fisadi, mwizi mtoa rushwa Endward Lowasa achukue fomu imekuwa ndiyo vificho na mataulo ya kumsafisha, naombeni jinsi ya kuzi delete hizi TV. sitaki dhambi ya huyu mwizi inikute.
Mie nilishapiga marufuku familia yangu kuangalia.
MAGAZETI YA NIPASHE nayo yamekuwa toilet ya EL sasa tufanyeje.