Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,596
Lowasa is a very major pain in some peoples asssssesss:A S 20:
Uhahahahahahaha,is that for real??? Copenhagen DN
Last edited by a moderator:
Lowasa is a very major pain in some peoples asssssesss:A S 20:
Kama Lowasa ni dhaifu mpelekee mama yako akampime ili tupate majibu
Kituo cha Televisheni cha ITV leo kimeonyeshwa wazee wa Mwanza wakidai kuwa wanamshawishi Lowasa agombee, huu ni mtiririko wa habari za Lowasa katika kituo hicho ukiwa ni muelekeo wa Kampeni kabla ya wakati
Kama unafuatilia majibu unayo ila kwakua unatanguliza ushabiki utapotosha
babu anataka kitalu,ngoja tuone kama atapewa,naomba MUNGU kabla ya kikwete kuondoka atie sain mikataba ya muda mrefu ili hili babu likose.
Habari nyingi unazoziona on TV ni for the public interest! Sasa kama kuna strong public demand ya news za Lowassa unataka ITV wafanyaje Kwa mfano! Kama za Lowassa zinakuboa hamia TBC... just a button away!Kweli kabisa, nimeona kwenye taarifa ya habari, ITV saa mbili, This is not fair!!!
wewe una akili gani ya kujua what is fair na what is not fair. kwa kile wanachofanya tbccm na starccm unaona ni haki, shut up na kama hupendi kaa na remote yako karibu, zikiingia big newz za ukawa, feel free ku change channel,Kweli kabisa, nimeona kwenye taarifa ya habari, ITV saa mbili, This is not fair!!!
Wapashe hao,siku hizi chaguo ni lako, machanei kibao, ukiona ITV inakuboa hamua TBS ukaone viduko na mipasho iliyo nyuma ya wakati,ukitaka zingine nenda StarTV ambayo kwangu mimi huwa nasubiria za kimataifa na michezo, lkn ukitaka hali halisi ya mambo njoo ITV, sasa wanacholalama ni kitu gani? Ukiona haikufai ipotezee nenda kule unakokongwa moyo. Miaka ya 70 mpaka mwanzo wa 80 tulikuwa tunagombea kupata gazeti la Uhuru, sasa hivi hata liuzwe centi 10 hata muuza maandazi hatolichukua kwa kupwaya habari zake, mpango mzima upo Mwananchi,Mawio nk.Hapa ni mwendo wa uhakika mpk ikulu, kama munataka habari za kuwafurahisha angalieni tbc..........someni habari leo,uhuru, jambo leo, daily news na mengine ya mfano huo.
Kituo cha Televisheni cha ITV leo kimeonyeshwa wazee wa Mwanza wakidai kuwa wanamshawishi Lowasa agombee, huu ni mtiririko wa habari za Lowasa katika kituo hicho ukiwa ni muelekeo wa Kampeni kabla ya wakati
ITV ni tegemeo kubwa wa kuletewa habari za uhakika,TBC na Star TV wao ni habari isiyo na usawa,wanakomaa na Magufuli na kiujumla huwa sipendi habari zao kabisa.Mnaboa sana kwa hili mbona habari zake mnatangaza sana kwani hamna habari zingine.kwani mnatangaza team lowasaa kila siku bila kukosa km mmenunuliwa kwa pesa mseme.jirekebisheni.