ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

Gamba mkubwz we aya kakojoe ulkalale huna jipya

matusi tu weredi wenu.
mbona jana jamaa yenu amelalamikia star tv eti inapendelea mumezoea kusafishwa kwa dodoki za vyombo vya habari hamna jipya na haitawasaidia,
 
Ni vizur hizi media hata kama kuna maslah binafsi basi jitahidini kujificha kidogo lakini hili mmeshindwa kabisa,
Ni kweli mnaweza mkawa mmepatiwa mtonyo na jamaa,lakini kama chombo binafsi msiwadhihirishie wananchi kwamba mnapendelea upande flani,
Najua hiki ndio kipindi cha bingo kama jamaa amekaa kwenye reli,kampuni inaweza ikapiga hatua kwani jamaa tangu yupo Kijani mkono wake kwenye hii isue ya yeye kwenda Ikulu anazitoa tu,hivyo kama wafanyabiashara nyie kamueni tu lakini jitahidini kujificha kidogo,
Tatizo lenu mnaonesha kama mna bifu na zambarau na kijani za wazi wazi,hapa kwa wengine mnakosa mashiko,
Yani hata siku moja hamuwezi onesha isue ambazo zina negative impact kwa Gwanda,hivi ni kweli hazipo?
Zambarau akizomewa tayari mnaongeza na chumvi lakini gwanda likizomewa kimyaaa,
Poa huu ni ushaur tu kwenu kwani raia wakiwastukia watawapotezea na maana au dhamira yenu itakwama.

Kuna Uzi humu ndani unahusu TBC ambalo ni shirika la Umma ambalo limejikita kutangaza kuhusu CCm tu??hawaweki hata taarifa za muhimu kama wizi wa kura za maoni hiko mikoani??
ITV imejitahidi sana kubalance..namsifu sana Mengi na IPP kwa kuonesha njia.
Tatizo CCM mmezidi kubebwa!!
 
Yaani mshangao wa ajabu,wanashangaza sana hawa wa kijani
Yao tu ndio mema
Wamebeba pesa kwenye sandarusi na mabox na nyingine wamewagawia hadi watumishi wa Mungu ila kwao sawa tu

mbona jana mumelalamikia star tv kuwa inapendelea ,madodoki ya vyombo vya habari hayasaidi kama hauna uwezo wa hoja kwenye jukwaa unategemea msaada ili ushide ni kazi bule,
 
Ni vizur hizi media hata kama kuna maslah binafsi basi jitahidini kujificha kidogo lakini hili mmeshindwa kabisa,
Ni kweli mnaweza mkawa mmepatiwa mtonyo na jamaa,lakini kama chombo binafsi msiwadhihirishie wananchi kwamba mnapendelea upande flani,
Najua hiki ndio kipindi cha bingo kama jamaa amekaa kwenye reli,kampuni inaweza ikapiga hatua kwani jamaa tangu yupo Kijani mkono wake kwenye hii isue ya yeye kwenda Ikulu anazitoa tu,hivyo kama wafanyabiashara nyie kamueni tu lakini jitahidini kujificha kidogo,
Tatizo lenu mnaonesha kama mna bifu na zambarau na kijani za wazi wazi,hapa kwa wengine mnakosa mashiko,
Yani hata siku moja hamuwezi onesha isue ambazo zina negative impact kwa Gwanda,hivi ni kweli hazipo?
Zambarau akizomewa tayari mnaongeza na chumvi lakini gwanda likizomewa kimyaaa,
Poa huu ni ushaur tu kwenu kwani raia wakiwastukia watawapotezea na maana au dhamira yenu itakwama.
mkuki kwa nguruwe...
 
Hahahaa mwaka huu mtahangaika sana magamba.

madodoki ya lowasa hayo lakini hadi yataisha kwa udhaifu niliouona hata nyie mnaomshangilia ipo kasoro ndni yenu,wenye elimu zao ni hoja zipi za kusikiliza kwa lowasa?
 
Hahahaa mwaka huu mtahangaika sana magamba.

hana njia nyingine ya kumsaidi lowasa ni kutumia madodoki ya vyombo vya habari na nyie 4u aliowaajiri humu,lakini
uwezo wa kumsimamisha yeye kama yeye akatoa hoja za maana na wenye akili zao wakamuelewa hana ,
pole sana mtafanya kazi kubwa mno ,na mtajutia kilichowafanya kumuweka pembeni slaa,
 
mbona jana mumelalamikia star tv kuwa inapendelea ,madodoki ya vyombo vya habari hayasaidi kama hauna uwezo wa hoja kwenye jukwaa unategemea msaada ili ushide ni kazi bule,

Kitaeleweka tu okt 25 ila ukitaka habari za ccm zaidi nenda tbc naona mmeamua kujimilikisha bila aibu
 
hana njia nyingine ya kumsaidi lowasa ni kutumia madodoki ya vyombo vya habari na nyie 4u aliowaajiri humu,lakini
uwezo wa kumsimamisha yeye kama yeye akatoa hoja za maana na wenye akili zao wakamuelewa hana ,
pole sana mtafanya kazi kubwa mno ,na mtajutia kilichowafanya kumuweka pembeni slaa,

Umeamua kuwaonea huruma ukawa badala kupanga mikakati ya kushinda uchaguzi
 
madodoki ya lowasa hayo lakini hadi yataisha kwa udhaifu niliouona hata nyie mnaomshangilia ipo kasoro ndni yenu,wenye elimu zao ni hoja zipi za kusikiliza kwa lowasa?

Zaidi ya raia kushabikia pesa za huyu jamaa EL kujieleza hawez huwezi mfananisha na W Slaa
 
Ni vizur hizi media hata kama kuna maslah binafsi basi jitahidini kujificha kidogo lakini hili mmeshindwa kabisa,
Ni kweli mnaweza mkawa mmepatiwa mtonyo na jamaa,lakini kama chombo binafsi msiwadhihirishie wananchi kwamba mnapendelea upande flani,
Najua hiki ndio kipindi cha bingo kama jamaa amekaa kwenye reli,kampuni inaweza ikapiga hatua kwani jamaa tangu yupo Kijani mkono wake kwenye hii isue ya yeye kwenda Ikulu anazitoa tu,hivyo kama wafanyabiashara nyie kamueni tu lakini jitahidini kujificha kidogo,
Tatizo lenu mnaonesha kama mna bifu na zambarau na kijani za wazi wazi,hapa kwa wengine mnakosa mashiko,
Yani hata siku moja hamuwezi onesha isue ambazo zina negative impact kwa Gwanda,hivi ni kweli hazipo?
Zambarau akizomewa tayari mnaongeza na chumvi lakini gwanda likizomewa kimyaaa,
Poa huu ni ushaur tu kwenu kwani raia wakiwastukia watawapotezea na maana au dhamira yenu itakwama.

mkuu usiangaike nayo haya ni madodoki tu wala hayajielewi
mimi nasubili midahalo basi najua kuna mtu kuanguka na ninaomba iwe masaa matatu au manne,nione alikili ya kuongoza wasomi wa nchi hii ni hipi sio kutumia wajinga kwenda ikulu,

 
Umeamua kuwaonea huruma ukawa badala kupanga mikakati ya kushinda uchaguzi

mkuu nawaonea huruma maana mdahalo ni masaa 5 lakini huyto wenu hata uwezo wa kisimama nusu saa hana sijui itakuwaje na hapo badi ajatembea vijiji vyote vya nchi hii kuomba kura usisaahu hilo,
 
Mmmh jamaa angalau Leo utumie akiri yako kidogo hivi unajua TBC wanachokifanya as if ile ni TV ya ccm?
 
mkuu nawaonea huruma maana mdahalo ni masaa 5 lakini huyto wenu hata uwezo wa kisimama nusu saa hana sijui itakuwaje na hapo badi ajatembea vijiji vyote vya nchi hii kuomba kura usisaahu hilo,


Kila siku mgonjwa mgonjwa mgonjwa ndio utetezi wenu,kama ni hivyo kwanini mlimkata?
Ukiona cha nini wenzio wanasema watakipata lini
Acha awaumize matumbo
Na mtakufa kabla ya Lowasa liweke kichwani
 
Tunaomba tuachiwe server kwa ajili ya post za Lowasa na UKAWA.Msijaze bila sababu

Nilichoshaur kwanza hii TV hiki ni kipindi chao chakupiga bingo,nafasi ya dhahabu hua haiji mara mbili kwani hata mwenyikiti wa chama kwakulifahamu hili ndicho alichokifanya hakua dhahiri,amesogea pembeni kidogo kavuta mtonyo kwakua anafahamu sio vizur kujionesha lazma kuwe na heshima kidogo,haramu kwa wale wenye haramu nayo wanapo ila huwa hawali hadharani inashangaza kwa hawa jamaa
 
ITV inaharibu reputation yake kwa kuruhusu kuwa kituo cha propaganda za mafisadi, kwa muda mrefu kweli ITV ndiyo msema kweli wetu sasa kaingia kwenye mtego tutakimbilia wapi? MENGI kashaingia ndani ya 18 za EL kuna kazi tena? kweli pesa nimeamini ni hatari, mzee wetu MENGI amamua kuzika reputation yake kimataifa hivi hivi? ni TV peke yake iliyokuwa ikituletea vitu live, MUNGU wangu me ndorobo nitaangalia TV gani tena? TBC ndiyo majanga. AZAM ni kwa bepabri mpaka uwe na king'amzi na me sina pesa. uwiiii jamani nalia msaada.

Kwenye list of shame wapo 11, EL kajiondoa the rest bado ccm na bado wanataka madaraka na mpo nao, hiv watz mtazinduka lin? Puuuuuu!
 
Back
Top Bottom