Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tatizo ni lile lile.. ikiletwa habari watu wanafikiri kila habari ni taarifa ya kitu fulani.
Muulizeni Spika SAMUEL SITTA kwa nini alikataa ile kamati ya ADAM MALIMA vs MENGI haikuwa public
from there ndipo utaona picha kamili jinsi Mengi anavyotumia vyombo vyake vya habari...hilo la kumshut down halipo ila mwenyewe akiamua kufanya hivyo well and good as long as ana bide by sheria zinazomruhusu kurusha hayo matangazo
Kuhusu JF...hapo hakuna kitu unless unataka kutuambia Mengi keshainunua lakini kama hajauziwa then it wont be a bad idea kuuziwa akifika bei...ohhhh kuhusu JF kuwa shut down hilo halipo nyie endeleeni tuuu
in a nutshell nzi leo naona exclusive yako imekuwa haina kiambatanishi cha upupu kama sikuzote unless utauleta baadae as attachment
La ITV kufungiwa halimo, serikali haiwezi kuifungia, ila Mzee Mengi, ana ajenda yake na anaitumia ITV kama moja ya strategies za kuifikia ajenda hiyo. Kitu ninachojua, ITV haitafungiwa bali itakufa natural death baada ya ajenda ya mmiliki kutokamilika.
Ajenda hiyo haitokamilika kwa sababu anatumia mlango wa nyuma kutimiza malengo yake.
Wengi wanamuona Mzee Mengi kama mkombozi fulani kwa mtindo wake wa kuuma na kupulizia, amamuuma adui fisadi papa, huku anampulizia mlezi wa fisadi papa kwa kisingizio cha kutaka kumsaidia.
Tatizo atakalokumbani nalo mzee wetu huyu ni kuwa hawa anaojidai anataka kuweasaidia, ndio hao hao wanaomuona kuwa yeye ni adui na kwa hakika, watammaliza.
Vita dhidi ya ufisadi ni vita kubwa inayohitaji kupigwanwa from within. Mzee Mengi kwa kutumia media yake, anataka kuwashawishi watanzania tukae nyuma yake kuelekea kwenye ukombozi wa kweli dhidi ya ufisadi. Tatizo watu anaotaka kupigana nao, wana nguvu zaidi yake, hivyo he is fighting a loosing battle na ndipo atakapoangamia na ITV yake na familia nzima ya IPP.
Mimi naungana na ile filosofia isemayo 'If you can't beat them, join them', vita hii ndio mwanzo wa mwisho wa Mengi kwa sababu nchi iko mikononi mwa mafisadi Left, Right and Centre.
Baada ya kucomment kwenye andiko la mwanzoni la Max nimeamua ku withdraw ile statement yangu ........... jamaa wa UWT wangeshirikiana na wadau wa JF kwa ukaribu kumbe kiulaiini wangempata mmiliki wa zeutamu!!! duuh kweli kuna madogo wamepinda ila sasa utawafanyaje kama ndio wameshakuwa madogo wanatoka kwenye familia za kiukweli!!!
Kuna umuhimu wa vita kulipuka hapa nchini. Tuteketezane weee kamamtu milioni 5 hivi, vumbi likitulia itakua akili na heshima kwa taifa na watu milioni 35 watakaobaki. Sio hivi sasa kila mtu anamamlaka ya urais. Hajulikani rais nani, waziri nani, fisadi nani. Kila mtu ana call the shots. Usalama wa taifa kazi wanayoiweza ni kufatilia zeutamu, ndio wanachoona cha maana kwa taifa. Wakati wabaka uchumi wamewaweka mfukoni.
Nataka mawazo ya tufanye nini ili tumalizane, heshima kwa taifa irudi, ili waje kufaidi nchi ya maana wajukuu???... tusiogope damu, U.S na Japan wapo shwari sababu walimwaga sana damu zamani. Rwanda sasa hivi kuna nidhamu sababu hiyohiyo, hapa tunaremburiana tu... Bullshit!
Hakuna atakayeifungia ITV. PERIOD
Na wala sijui mnajadiliana nini hasa humu.
Mibongo bwana!
Sober, una kifua cha kusimama vitani au ngwamba za manati?? au ndiyo yaleyale ya mgahawani?? Sio vita inaanza wewe unaangalia tu kwenye CNN. Si lazima kupitia route moja kuelekea nchi ya "maziwa na asali". All we need is a change of mindset na kufuta siasa kwenye kazi na utawala bora
...Ngoma yataka Matao Mjomba!!!!!
Jamani kuna jamaa kanidokezea sasa hivi kuwa amenyetishiwa na ofisa mmoja (A very senior officer)anayefanya kazi ofisi ya muungwana, kwamba ni kweli kituo cha ITV kitafungiwa anytime from now. Hii ni baada ya vikao kadhaa kufanyika kujadili uvunjaji wa makusudi wa taratibu za uendeshaji wa kituo cha TV na kukiuka maadili ya utangazaji. Nimetonywa kwamba maamuzi hayo yana baraka zote za muungwana!!!