Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

1467363723618-jpg.361870
Hii inafanyika/inakubalika Tanzania 2. Na ni kutokana na idadi kubwa ya vichaa iliyopo nchini kama takwimu zilivyotolewa na wataalam. Na 91% ya vichaa wapo CDM ambapo CUF ni 8%. Kwa sbb ya viloba.
 
Mbowe alishasema kuwa kama EL akiamua kuja CDM bac lazima arudishe mali zote za umma alizotuibia na kukiri kwa nini alifanya hivyo na kwa sababu zipi. Na hapo hata wananchi watampima na kumruhusu kuwa angalau mwanachama na si kupewa nafasi ya uongozi wala kugombea post yoyote.

:cool2:
sijui kama mbowe alimkumbusha El kuhusu kurudisha mali ya umma kwanza!!!!!!
 
Back
Top Bottom