Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Duuh haya makaburi mnayoyafukua kuna watu wanaumia sana

Naahidi huu uzi ntakua nau update ili wayaone matapishi yao

Vilaz aaaaaa wa mwendokasi waio kuwa na msimamo hawa
Mkuu nitakusaidia kwa hilo, kilasiku nitakuwa naweka comment mojamoja
 
14572902_10205764175941911_5977724713282338102_n.jpg
 
Bavichaa huu uzi wanauogopa kama ukoma hivi. Sijamuona Ben Saanane au Yericko Nyerere wakichangia hapa.
Ben Saanane anadai kuna watu wanampigia simu wanataka kumuua. May be amejificha sehemu ila akija kuibuka hapa ni mapovu tosha na kujiapiza balaa. May be yuko home anashughulikia matatizo ya wanawake wa Rombo. Unafiki uliopindukia kimo!
 
Ndiyo maana nasema kama ccm wanatumia ujinga na umasikini wa wananchi basi na wapinzani nao hufanya hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom