Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Itakuwaje Lowassa akifukuzwa CCM, CHADEMA watampokea?

Lahaula..hapa ungebakisha akiba ya maneno ungekua salama sana mzee
Nadhani hata wewe ukuangalia page zako vizuri utakuta hukuweka akiba kuhusu huyu bwana. Nadhani kila mpinzani alishawahi kumtukana huyu mzee. Si unajua enzi za list of shame. Ila siasa bana!
 
Aisee watz sijui tumerogwa!! eti wanamkumbatia leo km yai wakati huko nyuma walishamtukana matusi yote!!! ama kweli kuwa mwanachama wa chama cha kaskazini ni sawa na ..........
 
Back
Top Bottom