Iran kwa mara ya kwanza imefanya jambo kwa US ambalo China na Russia hawajawahi kuonyesha uwezo wa kufanya

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

GAGg5AJX0AAg3Qe.jpeg


Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

Katika harakati za kijeshi hilo linategemewa wakati wowote.
Wala siyo kuubwa kiivyo
 
Si wangezishambulia Sasa hizo meli...au Iran hajui zinapelekwa/ kusogezwa huko for further use in case akiishambulia Israel? Nachojua mm popote zinapopita hizo aircraft carrier Marekani ana control anga la MAHALI husika. Maana hapo kuna ndege zinapaa na kutua mda wote mchana na usiku zikienda na kurudi kutoka kwenye mission mbalimbali...! Sasa isije kuwa tunaonyeshwa video zilipochukuliwa na wamarekani wenyewe kwa drone zao wenyewe kwa utashi wao na malengo Yao wanayoyajua.
 
Rusia na Choma inawezekana wanafanya lakini hawezi kuonyesha ulimwengu kama Iran anavyofanya, Iran anachofanya kitakuja kumgharimia, kupiga picha military base na kuonyesha ulimwengu maana yake ametangaza vita kubwa muda wowote anaweza kushambuliwa hizo melivita, assume kwa sasa itokee ajali yoyote ya melivita lazima waseme ni Iran, Kwa mazingira hayo USA ana machaguo 2, kukubali Iran aendelee kumchezea sharubu na kurutubisha uranium na kutengeneza silaha za nuklia au kumdhibiti mapema
 
Rusia na Choma inawezekana wanafanya lakini hawezi kuonyesha ulimwengu kama Iran anavyofanya, Iran anachofanya kitakuja kumgharimia, kupiga picha military base na kuonyesha ulimwengu maana yake ametangaza vita kubwa muda wowote anaweza kushambuliwa hizo melivita, assume kwa sasa itokee ajali yoyote ya melivita lazima waseme ni Iran, Kwa mazingira hayo USA ana machaguo 2, kukubali Iran aendelee kumchezea sharubu na kurutubisha uranium na kutengeneza silaha za nuklia au kumdhibiti mapema
Unatumia akil8 nyepesi Mno kujadili jambo as if IRAN adminostration nzima haijaliona then wewe ndo ukaliona🤣
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

Picha hata mimi napiga tu kwa kutumia simu yangu, so iran hawana cha maana, sijawahi kuona nchi inayoongozwa kidini ikawa na akili duniani
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

Mwisho wa dunia upo kwenye arsenals za nukes.

Anayevimiliki ndo ameshikilia mtima wa dunia
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

hapo bila wao"kujua umefeli mjomba" inawezekana unawachukia mno US umesaha huko nyuma wa iran walirusha makombora base la us iraq, us waaliona hakuna madhara makubwa wakadharau hawakujibu sasa kiwewe kikafanya iran watungue ndege ya ukrain ambayo abiria wengi walikuwa wa iran. Mchezo mzima wanaume waliuona wakaa kimya wiki 2, wairan mara kusingizia us mara pilot error mara vile, mwishoni wakakubali wameua raia wao wenyewe na ikabidi walipe hela ndefu.

Kupiga picha hakuna madhara si warushe kombora basi maana ile ghuba upana wake ni km30 tu ina maana meli ikipita kati inakuwa km 10 au 15 toka iran sasa mdude ile moja kama USS FORD ni m337 yaani viwanja vitatu na nusu vya mpira linapita mchana kweupe na yako matatu halafu kupiga picha iwe kitu cha ajabu na akilikuuubwa kwa iran DU taf jaman kama mmefikia hapo poleni sana
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

Not every erectile penis can defile a girl.
 
Iran imerusha drones zake na kurekodi misafara ya meli kubwa za kivita za Marekani.


View: https://x.com/EbneHava/status/1729892586578452954?s=20

View attachment 2829122

Wachambuzi wanasema huu ni mwanzo wa kufeli kwa ubabe wa US kwenye maji. Kama drone zimekaribia na kuchukua picha kwa kuzoom karibu muda mrefu, basi hawashindwi kuzamisha meli hizo.

Ukiwa na vifaa vya kisasa vya kijeshi vya matrillion, alafu kuna mtu anavifuatilia bila wewe kujua basi hauko salama kama unavyodhani.

Hii kitu haijawahi kufanywa na China wala Russia.

Ni hayo tu...

Nini maoni yako.

USA walishaoneshwa kuwa ni "cha mtoto" na Waafghanistan.

Taliban waliwakazia buti, wakawanyuka vibaya sana, mpaka wakatoka mkuku na kuwacha silaha zao kibao. Jionee:

 
Rusia na Choma inawezekana wanafanya lakini hawezi kuonyesha ulimwengu kama Iran anavyofanya, Iran anachofanya kitakuja kumgharimia, kupiga picha military base na kuonyesha ulimwengu maana yake ametangaza vita kubwa muda wowote anaweza kushambuliwa hizo melivita, assume kwa sasa itokee ajali yoyote ya melivita lazima waseme ni Iran, Kwa mazingira hayo USA ana machaguo 2, kukubali Iran aendelee kumchezea sharubu na kurutubisha uranium na kutengeneza silaha za nuklia au kumdhibiti mapema
Marekani hawezi kurupuka kumshambulia Iran ata siku moja! Na hata Iran hawezi shambulia Israel
 
hapo bila wao"kujua umefeli mjomba" inawezekana unawachukia mno US umesaha huko nyuma wa iran walirusha makombora base la us iraq, us waaliona hakuna madhara makubwa wakadharau hawakujibu sasa kiwewe kikafanya iran watungue ndege ya ukrain ambayo abiria wengi walikuwa wa iran. Mchezo mzima wanaume waliuona wakaa kimya wiki 2, wairan mara kusingizia us mara pilot error mara vile, mwishoni wakakubali wameua raia wao wenyewe na ikabidi walipe hela ndefu.

Kupiga picha hakuna madhara si warushe kombora basi maana ile ghuba upana wake ni km30 tu ina maana meli ikipita kati inakuwa km 10 au 15 toka iran sasa mdude ile moja kama USS FORD ni m337 yaani viwanja vitatu na nusu vya mpira linapita mchana kweupe na yako matatu halafu kupiga picha iwe kitu cha ajabu na akilikuuubwa kwa iran DU taf jaman kama mmefikia hapo poleni sana
Ayatollah amesahau et, hawa iran ndo hamna kitu kabsa
Kamikaze Toka Iran zilibadili upepo wa vita pale Uikrane.

Kamikaze inauzwa dollar 20000k,,,Ili uishushe unatatumia Dollar 150000k

Ukiitungua hasara,,,, ukiiacha hasara.
 
Rusia na Choma inawezekana wanafanya lakini hawezi kuonyesha ulimwengu kama Iran anavyofanya, Iran anachofanya kitakuja kumgharimia, kupiga picha military base na kuonyesha ulimwengu maana yake ametangaza vita kubwa muda wowote anaweza kushambuliwa hizo melivita, assume kwa sasa itokee ajali yoyote ya melivita lazima waseme ni Iran, Kwa mazingira hayo USA ana machaguo 2, kukubali Iran aendelee kumchezea sharubu na kurutubisha uranium na kutengeneza silaha za nuklia au kumdhibiti mapema
North korea yeye juzi karusha picha za Ikulu na Pentagoni na camp za kijeshi,na bado anaskilizia anasema picha zinazofuata ni Biden akiwa Msalani.
 
Back
Top Bottom