Ukipitia humu JF utagundua kuwa Watanzania wengi wanasumbuliwa na tatizo la akili fupi.Tatizo ni mfumo wa elimu yetu au ni nini?
Unaelewa kuwa mikutano ya kisiasa ni mojawapo ya freedom of expression?Unaelewa umuhimu wa freedom of expression?
Unaelewa kuwa ili Serikali iwe efficient and effective katika kutimiza wajibu wake ni lazima wananchi walioipa dhamana wawe wanaikumbusha majukumu yake mara kwa mara na kuikosoa mara kwa mara na hii hufanyika kupitia freedom of expression?
Unaelewa kuwa wananchi wanapokuwa limited katika ku-exercise freedom of expression ni kwamba wanailazimisha Serikali yao kulala fofofo katika kutimiza wajibu wake?Unaelewa kuwa serikali iliyolala fofofo katika kutimiza wajibu wake ni Serikali mfu?Yaani wewe unataka itungwe sheria ya kuwalazimisha wananchi kutengeneza serikali mfu?