CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,999
Uki date na Albino kumuacha unamuomba, unamuita unamwambia.Ila hii itabidi nifanye....tatizo lake bwana ni kwamba ukimzingua anaweza kukubambikia kesi kuwa ulitka kumkata mbususu yake upeleke kwa mganga
Naomba tuachane mpenzi, Albino hawa achwi achwi kama unavyoacha
Ngozi nyeusi hizi maana ukijifanya muhuni akienda ku report tu ulimkata kucha
Sahivi unamtafuta umkate nywele zake, Broo utatafutwa na defender mwezi mzima.