Mie napenda kujaribu vitu vipya jikoni, mfano pishi jipya au hata viungo vipya au mchanganyo mpya wa viungo na pishi.
Japo kuna nyakati mara chache siyo mara nyingi huwa nikijaribu mchanganyo mpya wa pishi jipya naharibu ila mara nyingi natoa kitu hadi najisifu.
Kuna pishi nililiona mtandaoni...
Nazungumzia mtu ambaye kwa kiasi kikubwa mpo karibu sana..
Yaani kama ni mpenzi yeye anataka udaku, kudinyana, romance...
Rafiki naye, stori ni za Mahusiano tuu, n.k
Kwa ufupi hakupi challenge yoyote ile.., kuna mda unahitaji kua peke yako ili angalau uwaze nje ya boksi,
Ukimshirikisha...
Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani.
Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa nimekuwa nimemfata kumwambia yule jamaa achukue kamba yake sifungiki tena.
Juzi kati nliingia chobiksi, katika harakati zangu za kusaka mbususu.
Daah nlikutana mdada Mmoja huyo, alikuwa anajiuza barabarani halafu bei cheap, nilimla, yule mdada ana personality nzuri, ana tabasamu nzuri, nikashangaaa nkajisemea kweli humu duniani kuna uchawi, yani mdada kama yule...
nakumbuka siku moja nimetoka singida naenda manyara kwa baiskel ilikuwa ni masika,
nikiwa katikati ya mbuga ilikuja mvua ya ghafla ambayo sikuitarajia kurudi nyuma ni mbali na ninapokwenda ni mbali ikabidi nikomae tu hivo hivo basi bhana,
baiskel ikabana matope kwenye madgad ikawa haitembei...
Je, ndugu ushawahi kukumbwa na hii hali ya kumchukia mtu bila sababu?
Hii hali imekuwa ikinipata kwa nyakati tofauti kulingana na eneo nililopo yaani najikuta namchukia mtu fulani, hajawahi nikosea chochote lakini najikuta tu nafsi yangu haimpendi hata kumuona tu.
Ivi ushakutanaga na mwanaume ambae yuko insecure, hajiamini?
ikawaje?
ulitemana nae vepe?
ulitemana nae baada ya muda gan?
Hadithi kamili pita kwa youtube channel yangu
Hii ilinitokea kati ya mwaka wangu wa 2 na wa 3 wa chuo kikuu. Nilifanya kibarua cha kuhudumu kwenye mgahawa kila nikitoka chuo ili kujikimu na mahitaji yangu ya chuo, Pesa ilikua ngumu sana.
Nilijiskia aibu ila ilibidi nifanye kile nilichokifanya ili niweze kuishi. Kuna muda nilikua nakusanya...
Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu.
1st similarity
-Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao.
-Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao.
2nd Similarity
-Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba.
-Waislamu nao...
ChartGPT anasema hivi
Ushindi wa Marekani dhidi ya Japani katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia unaweza kuonekana kuwa maarufu zaidi kutokana na sababu kadhaa:
1. Mabomu ya Atomiki: Shambulio la Marekani kwa kutumia mabomu ya atomiki juu ya Hiroshima na Nagasaki lilikuwa tukio la kipekee katika...
Mfano, wewe mwanaume una hela, Unasukuma gari nzuri kiasi, laki mbili tatu za bata kila wiki hazikupigi chenga, una kazi nzuri na biashara, una nyumba nje ya mji, kibongobongo watu tunaassume umetoboa..
Unakutana na binti maisha yamemchapa, kwasababu unampenda, unamtakatisha kwa kumpa vihuduma...
Uhali gani mwanaJF,
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kuanzia shule ya msingi mpaka a-level nilikuwa mtakatifu (Clean student) nikifaulu kwa juhudi zangu.
Hali ilibadilika baada ya kuingia chuo kikuu. Nikaanza kuwa muhuni na kuwa top cheater nikitumia mbinu zufuatazo
I) Kuandika mkononi au...
Hahaha enzi za ujana wangu niluenda mtembelea bibi huko Tanga, Alikua anamiti ya ugoro na tumbaku + ule ugoro wa kununua
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference
Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu
Na members wengine toeni...
Wahalifu wengi huiba pesa, vito, magari na vitu vya thamani kama hivyo
Lakini mhalifu huyu ni tofauti kidogo.
Mnamo Oktoba 2016- mtu huyu alikwenda kwenye duka la furniture na kuiba ''window blinds'' kisha akaificha kwenye koti lake kama unavyoona hapo juu!
Wafanyikazi walimuona kupitia CCTV...
Kuna watu wanaishi maisha ya ajabu sana, na wao wanaona ni sawa.
Kuna sehemu nilienda wakaanza kuandaa chakula, mara nikaona mpishi anapika mara akafutia sufuria na kanga aliyojifunga, nikasema tobaa hiki chakula siwezi kukila tena.
Usafi ni muhimu sana kwa mpishi kwani ukizingua kwenye usafi...
Mko poa?
Salaam,
Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama nyumba ina panya.
Nimeaza kupika ile naipuka mboga Panya kakatiza nikaona mkia tu nikadhani nyoka...
Wasalaam wandugu,
Mwajionaje na Hali?
Nyuzi hii ni kwa ajili ya picha ambazo hazina Caption au text yoyote kuielezea lakini zina ujumbe unachochea, kuvuta, kuelimisha, na Kutafakari.
USISITE KUTIRIRISHA HAPA PICHA YOYOTE YENYE KUFANANA NA MRENGO WA Nyuzi
KARIBUNI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.