binamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwizukulu mgikuru

    Kwanini kushindwa kuowa kwa binamu yangu ilikuwa ni faraja kwa mama yake mzazi (shangazi)

    Habari zenu wakuu, kuna jambo lilikuwa likiniacha njia panda sana, Kuna binamu yangu umri wake kwa sasa ni 33 to 34 hajaowa mpaka sasa na amekuwa akipambana kujiweka sawa kiuchumi na huku akitafuta mwenza wa maisha yake. Baba yake mzazi amekuwa akimshauri mwanae umri umekwenda na muda...
  2. B

    Kilimanjaro: Adaiwa kulawitiwa na binamu yake

    Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu na nusu (3.5) Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, inadaiwa amelawitiwa na binamu yake aitwaye Underson Alex (19) maarufu kwa jina Nngwe, wakati wakiwa wanachunga ng’ombe eneo la karibu na nyumbani kwao wilayani humo. Shangazi wa mtoto huyo akizungumza...
  3. Replica

    Mume ampeleka mchepuko wake nyumbani akidai binamu yake

    Bi Mercy Banda amepewa talaka yake na mahakama baada ya kumburuza mumewe Chipo Lukena kortini akimdai talaka kutokana na kukithiri uzinzi. Bi. Lucy katika madai yake ametolea mfano mumewe kumpeleka mchepuko wake nyumbani na kumtambulisha kama binamu yake. Mume alikiri tuhuma hizo. Baada ya...
  4. Maleven

    Binamu kaja na mumewe msibani lakini analazimisha tuchepuke

    It is no joke, nikijua mke wangu yuko hivi, ni bora tutengane tu. Tuko msibani kwa Uncle, binamu kaja na mume wake, lakini anamkwepa anataka tufanye vitu vya ajabu. Huku ni kutaka kunivunjia heshima katika familia, imebidi niondoke haraka haraka kutunza hesima yangu. Nilichoamua, ni marufuku...
  5. Dr Count Capone

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu vingi, vingine hatuwezi hata waambia watu maana ni chafu sana ila nyingine tunaziishi. Nimeanzisha uzi...
  6. JanguKamaJangu

    Amuua binamu yake kwa mshale wakigombania sehemu ya kuchaji simu

    Mvulana mwenye umri wa miaka 17 anasakwa kwa tuhuma za kumuua binamu yake kwa kumchoma mshale upande wa kushoto wa kifua wakati wakigombania sehemu ya kuchaji simu zao. Tukio hilo limetokea Mji wa Kaimosi Nchini Kenya ambapo, Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imesema mshukiwa alimuua Josephat...
  7. BigTall

    Kumbe Kabila la Warangi unaweza kumuoa binamu kwa utani kisha ndoa ikawa ya kweli

    Habari wana JF nimekutana na andiko hili la Adeladius Makwega wa DODOMA. Nafikiri kuna jambo la kujifunza hapa. Warangi ni kabila la kibantu linalopatikana katika mikoa ya katikati ya Tanzania ambayo sasa ni sehemu ya Dodoma. Kwa mujibu wa makadilio ya idadi ya watu ya mwaka 1999 kabila hilo...
  8. Kasie

    Mdogo Mdogo Hadi kwa Binamu.....🍷

    Basi bwana, Nimetoka zangu bustanini kung'olea majani na kumwagilia mboogambooga. Naingia ndani nakuta missed call 8 kuangalia ni binamu..... Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa.... Wangu wangu hadi kwa binamu, nafika ananikaribisha mezani.... Ngumu sana kukwepa mitego...
  9. VinJoe

    Je, kimaadili, mila, desturi na tamaduni zetu za kiafrika ni sawa kua na mahusiano na binamu?

    Miaka mingi iliyopita nikiwa bado mdogo sana familia zetu yaani baba mkubwa baba baba zangu wadogo shangazi yangu walikua wana utaratibu wakukutana kila mwaka mwezi wa 12 ambambo walikua wanasherekea birthday ya baba yao na sikukuu za xmas na mwaka mpya hivyo hata sisi binamu na ndugu wengine...
  10. Stephano Mgendanyi

    Kuanza kuhusisha siasa kumtengenezea Muuaji kadi ya Chadema ama kuonyesha UCCM wake ni ushamba

    BINAMU HIMSELF: TUKIO LA MAUAJI SALENDER BRIDGE JANA Tukio la mauaji Salender Bridge jana Kumekuwa na hisia na hukumu nyingi kuhusiana na tukio la jana lililopoteza maisha ya watu watano. Ugaidi, kisasi, chuki vimetajwa kama sababu na baadhi ya wengi, Ilimradi kila mmoja amesema anavyodhani ni...
  11. Emmanuel180

    Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

    Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio kubwa sana ila lina compose mahitaji yote muhimu kuanzia vitafunwa n.k Sasa wakati nikiwa pale...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kipi kibaya zaidi kati ya kutembea na binamu au shemeji?

    Shemiji anaweza kuwa mke wa Kaka yako au nduguyo, pia dada zake na wadogo zake ni mashemeji. Binamu ni mtoto wa mjomba au shangazi. NB:- HAWA HUGONGWA KIMASIHARA
  13. Azim Sokoine

    CHADEMA mpeni nafasi Binamu Bananga awe Msemaji wa Chama

    Wakuu nawasalimu, Naushauri uongozi wa CHADEMA wampe kazi ya usemaji wa chama taifa ndugu Binamu Bananga, eneo hili ni muhimu kujibu propaganda na kutengeneza propaganda za kisiasa. Kitengo hiki CHADEMA hakipo sawa kwa maoni yangu, naona Bananga ni mtu sahihi.
Back
Top Bottom