cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,128
Kuna utofauti wa upole na ukimya? Ktk utata, ubabe, ujuaji, awe na ukimya ndani yake.Hutaki wapole uwamanipulate? Hawa kina kiranga mi siwezi unabaki kunywea tu kama majani ya maboga🤦🏽♀️
Kuna utofauti wa upole na ukimya? Ktk utata, ubabe, ujuaji, awe na ukimya ndani yake.Hutaki wapole uwamanipulate? Hawa kina kiranga mi siwezi unabaki kunywea tu kama majani ya maboga🤦🏽♀️
Anisamehe kwa kweli, ila mie hadi sahivi, kigezo cha kwanza ktk kudate, Elimu, Na Taaluma ipi.Unadharau sana coca🥲
😂😂😂😂😂Super ego🫢 naanza mfungo kuondoa hii kiburi pro max niliyobeba🤣
😹😹😹😹Hii pride ilinikuta wakati fulanii, 😂😂😂😂😂
Mie sikumlamba block, nilimchana kavu kavu.
Nilimuambia "yaani mie kupambana na msuli wa PCM advance, chuo kupambana na Engineering afu leo uje unigalagaze wee wa Accounts? Engineers wameisha Duniani hapa? Em huko bhana wee nipotezee"
Na hapo tulikua tushachombezana sana video call, voice chat, etc.
Siku ya kwenda kujunjana ile enyewe, akili ikasanukaaa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ewaaaa!!! Hapa tunaenda ulalo ulalo.😹😹😹😹
Wewe sasa udugu tuko same boat
Kuna mtu nilimkataa yeye mwenyewe alijishangaa nimemkataa vipi na status aliyokua nayo!!
Yani mimi mwanaume ambaye anapita bila kupingwa sijawahi kumuelewa, mwanaume lazima upambane.
Halafu napenda anizidi kila kitu 😹😹
😹😹😹 Hii tabia nzuri inapunguza dharau kwa wanaume..!!Hii ni nzuri sana! Naona saa nyingine ni heri kuwa mbinafsi tu kuliko kuendekeza kupenda watu umekutana nao duniani😅
Mi napenda mtu mkimya kwakweli😅Kuna utofauti wa upole na ukimya? Ktk utata, ubabe, ujuaji, awe na ukimya ndani yake.
Mi hata sijali kikubwa unizidi tu pesa🫢Anisamehe kwa kweli, ila mie hadi sahivi, kigezo cha kwanza ktk kudate, Elimu, Na Taaluma ipi.
Vingine hivyo wala sijari sana.
Mwanume mwenye dharau ndio simuwezi kabisaa!😹😹😹 Hii tabia nzuri inapunguza dharau kwa wanaume..!!
Unakuwa na mbabu kama kiranga hakuna asichojua chini ya jua. Hata ukimpa chuchu anajua kulinyonya vipi utoe miguno 😹😹Ewaaaa!!! Hapa tunaenda ulalo ulalo.
Yaani mwanaume wangu anizidi kila kitu. Hii ndio principle yangu.
😂😂😂😂😂😂
Usisahau trip ya kwenda kututua NY, hakikisha anavyorudi kwa Sope wa kizungu tunatembea nae woteee.Unakuwa na mbabu kama kiranga hakuna asichojua chini ya jua. Hata ukimpa chuchu anajua kulinyonya vipi utoe miguno 😹😹
Ukikata kiuno anajua akuweke mkao upi moto uwake na elimu unaongezewa free awww 🥰😍😍
Babu Kiranga njoo nakusubiri unitafune mpaka mifupa 😹🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️
😹😹😹 Au mwanaume 24/7 yeye anaongelea siku ukimpa kei atakachokufanya..!!Mwanume mwenye dharau ndio simuwezi kabisaa!
Hahahaaa hapa lazima aje kwakweli unajua kutaka watu wenye pawa😂Unakuwa na mbabu kama kiranga hakuna asichojua chini ya jua. Hata ukimpa chuchu anajua kulinyonya vipi utoe miguno 😹😹
Ukikata kiuno anajua akuweke mkao upi moto uwake na elimu unaongezewa free awww 🥰😍😍
Babu Kiranga njoo nakusubiri unitafune mpaka mifupa 😹🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️
Ndo vizuri fulo kuchukuchukaa ndani ya husiano 😂😂😂😂😂Mi napenda mtu mkimya kwakweli😅
Mi mwenyew mbabe sa itakuwaje😆
WeeMi hata sijali kikubwa unizidi tu pesa🫢
Nilishawahi kutana na wa hivi nikasema leo nikajionee maajabu ya dunia! Hmm hmm ana kitunguu mwanangu🤦🏽♀️😹😹😹 Au mwanaume 24/7 yeye anaongelea siku ukimpa kei atakachokufanya..!!
Watu Kama hawa kwanza wana mchango mdogo kwa taifa, siwezi kabisa kumtilia maanani namuona maisha yamempiga mpk kwenye ubongo..!!
Unamuwashia moto bila sababu haelewi kosa lake nini kama una mimba changa hivi😂Ndo vizuri fulo kuchukuchukaa ndani ya husiano 😂😂😂😂😂
Eeenh😄
😹😹😹 Nimeona huyo rafiki yake tajiri wa mafuta hanipi bora tumalizane na yeye mwenyewe..!!Usisahau trip ya kwenda kututua NY, hakikisha anavyorudi kwa Sope wa kizungu tunatembea nae woteee.
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 naelewaa mahi, full kutoa heka heka ndani ya JF.😹😹😹 Nimeona huyo rafiki yake tajiri wa mafuta hanipi bora tumalizane na yeye mwenyewe..!!
Uduguu kiranga wako mi nachangamsha kijiwe, napenda tu kumtania kiranga mzee wa NYC