kwemsangazi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 260
- 86
Nina Iphone 6s tatizo haitaki kuswitch on wifi na bluetooth haieleweki kabisa. Mwenye kujua solution au wapi naweza itengeneza msaada tutani
Hii cm imeingizwa pw kimakosa zaidi ya mara tatu naomba nisaidieni jamani. Ni leo tu imegoma!!
Nina Iphone 6s tatizo haitaki kuswitch on wifi na bluetooth haieleweki kabisa. Mwenye kujua solution au wapi naweza itengeneza msaada tutani
Jest killa ujue picha yako ndio screen saver ya simu yangu
Kuna Ipad hapa umeishia kwenye ile logo ya apple + white screen kuna aliyewah fix hii kitu,
Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
Kama simu ikiiibiwa ili niliilocate lazima mtumiaji aweke line yake,je inanipasa nisiweke lock screen maana ikiwepo hawezi weka line yake???
Iphone yangu nkiwa katika mkoa wa baridi betri inapata sana baridi na ku drain fasta sana na sehemu ya joto inapata sana joto na ku drain betri. Kuna aliekutana na kinda situation? How solved maana imekua like desk-phone.
Nishapeleka studio Tena, ila ahsanteDownload new ios af weka itunes kwa computa ako then ukishusha ios ingiza manually na itunes itawipe lakin data zako zote na kama ulifanya back up ya data zako kwa computer au icloud utazirudisha itakua poa
Nipo tayari kukamatwaaWeee weee utakamatwa shaur ako
iPhone 5s
Kijivu,
nyeusi,
rose gold,
nyeupe,
mwenye kujua wapi zinauzwa mpya kwa hapa bongo, ( dar es salaam )
Anijuze nahitaji kununua hiyo simu.
Unatumia mtandao gan
Sasa hizo si zitakuwa 5, 4s, 4 maana iphone 6 imetoka tayari ios 7 iko tayariHiyo i cloud lock inatoka tena kabisa, iphone zote zinazotumia ios 6 kushuka chini zina uwezokano wa kufunguliwa icloud kwa kutumia IMEI namba tuwasiliane 0714648822
Kuna Ipad hapa umeishia kwenye ile logo ya apple + white screen kuna aliyewah fix hii kitu,
Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
Sasa hizo si zitakuwa 5, 4s, 4 maana iphone 6 imetoka tayari ios 7 iko tayari
Iphone ni kitu kingine aisee usilinganishe na takataka za android.
Wee bana huoni maongezi hapa ni iphone simu za bei ghali.. Wee na tecno Umepotea njia.
marekani bna ame plan kucontrol ulimwengu tu mana ametengeneza most expensive equipment Apple devices na kuzipandikiza firmware za spy akijua fika wataoweza afford kununua ni watu wenye status ya juu ambao ndio controller wa society mfano politicians,Lawyers, Engineers na doctors anajua fika aki wapekua watu hawa atapata usefull info through mawasiliano yao na kaweka security kali kabisa i cloud yani mean ata kibaka apole atarudisha kwa owner au atupe mpaka sasa kujail break I cloud ni changamoto kwa developer kwa kweli marekani anaona mbali sana